BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Mkuu kajawa na Jazba😂😂😂 bundle gharama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Acha kabisa Mtani.Hahahahaha, ukitaka kujua vocha ni tatizo la pili la taifa rejea sakata la tozo
Umesomeka MJIVUNI.Wasalaam,
Niseme nimesikitishwa mno, tena kupita maelezo, mtu tuliyekuwa tunaheshimiana sanaa, tunaitana "wakuu", kila tunapokutana kwenye nyuzi hapa JF, "mkuu" ni nyingi, mkuu wangu akanipa mchongo wa kuwekeza mahali fulani huku akijinasibu kuwa yeye anakula mafao (millions) ya uwekezaji wake huku akinihusia na mimi niwekeze huko, "mkuu" tukabadilishana mawasiliano na kuanza kunimentor kwa ajili ya uwekezaji.
Mkuu akani-inspire sanaa cha kushangaza jana napita mitaa fulani humu JF namkuta mkuu kajawa na jazba kwa kukosa vocha ya bure zilizokuwa zikigaiwa huko kwenye huo uzi, mkuu anatokwa na maneno ya kulaani kabisa kwa kukosa vocha ya bure, niseme nimesikitishwa sana na wewe "mkuu", hivi najiuliza hata zile nondo za uwekezaji ulizokuwa unanipa ni za kweli mkuu?
Watanzania ni watu waongo waongo mno, kuanzia viongozi mpaka raia wake, sisi ni watu njaa njaaa sanaa kuanzia raia wa kawaida mpaka viongozi waandamizi na ndio maana watu wananunuliwa na kuhongwa kwenye chaguzi, viongozi wanasaliti na kuhama vyama vyao kwa ajili ya maslahi ya tumbo, masikini hazaminiki.
Na huu ndio uhalisia wa jamii zetu tunazoishi nazo huku mitaani.
Nisiwachoshe "wakuu"
Wasalaam,
Mla Bata.
Eti kweli mkuu? Haaa.Ila kiukweli kabisa kama umejipata huwezi hangaika na kina Vishu Mtata kugombea sandakalawe 😂😂
Acha niwahi, kuchangia huu uzi sekunde chache hivi huenda kuna tajiri kashusha mkeka saa hii
Ndo ivo, mtu aliejipata hawezi kurisk kufungiwa laini yake kwa vocha ya buku.Eti kweli mkuu? Haaa.
Mkuu umenikumbisha sadaka za mchele na nyama kwenye taasisi Fulani hivi aisee ufisadi hautakuja kuisha kamwe wakubwa Wana hungry fireTunaenda wapi kama taifa, tunadhalilika hivi kisa vocha, tukiletewa kilo moja moja za mchele na maharage kipindi cha kampeni tutaweza kukataa kweli?
Ebu tuseme na shida zetu basi.
Ongeza fungu watu wana hasira za kukosa vochaBado hamjasema, mtasema zaidi. Na miroho yenu ya kutu yaone kwanza