Hiki ni kielelezo cha jamii yetu ya Kitanzania, tabia na hulka zetu

Umesomeka MJIVUNI.
 
Tunaenda wapi kama taifa, tunadhalilika hivi kisa vocha, tukiletewa kilo moja moja za mchele na maharage kipindi cha kampeni tutaweza kukataa kweli?

Ebu tuseme na shida zetu basi.
 
Tunaenda wapi kama taifa, tunadhalilika hivi kisa vocha, tukiletewa kilo moja moja za mchele na maharage kipindi cha kampeni tutaweza kukataa kweli?

Ebu tuseme na shida zetu basi.
Mkuu umenikumbisha sadaka za mchele na nyama kwenye taasisi Fulani hivi aisee ufisadi hautakuja kuisha kamwe wakubwa Wana hungry fire
 
Mungu atulindie matajiri na donors wetu wote wa JF kwa kurudisha kwa jamii #bringsbacktocommunity
 
Mkuu mbona hii issue ya VOCHA mmeichukulia too personal sometimes mgetoa pongezi inge -make sense Sana kuliko hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…