Mathethamathetha
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 152
- 148
Sio walio zaliwa mjin mkuu!!watu wameathiriwa na lugha mamaHuwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanaje anaandika hivi:
Neno Hakuna anaandika akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada anaandika Hibada, hifadhi anaandika ifadhi, akiba anaandika hakiba, usitupe anaandika husitupe, mahindi anaandika maindi, hayupo anaandika ayupo. n.k.
Yani nimebaki najiuliza hiki ni kiswahili cha kisasa au?
Hiyo ndiyo lugha ya Kiswahili ya watu wa sasa (kizazi kipya). Lugha ya Kiswahili kwa sasa haina tofauti na Lugha ya Kiingereza kwa sasa. Kiswahili kimepoteza hadhi.Huwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanaje anaandika hivi:
Neno Hakuna anaandika akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada anaandika Hibada, hifadhi anaandika ifadhi, akiba anaandika hakiba, usitupe anaandika husitupe, mahindi anaandika maindi, hayupo anaandika ayupo. n.k.
Yani nimebaki najiuliza hiki ni kiswahili cha kisasa au?
Afadhali wewe unaacha kuchati naye, mimi huwa nazima na simu na kutoa betri kabisa Mpaka kesho, natumia line nyingine na simu nyingineBora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Wananikera sanaHuwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanaje anaandika hivi:
Neno Hakuna anaandika akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada anaandika Hibada, hifadhi anaandika ifadhi, akiba anaandika hakiba, usitupe anaandika husitupe, mahindi anaandika maindi, hayupo anaandika ayupo. n.k.
Yani nimebaki najiuliza hiki ni kiswahili cha kisasa au?
Wanawake sana sana ndiyo Lugha zao hizi hasa hawa wanaoitwa mademuBora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Hiyo ni athari ya lugha mama, na hao ni watani wangu wa kutokea mkoa wa Kagera wanaojisifu sana kwa usomi,na maarufu sana kwa ulaji wa panzi wa kijani.Huwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanaje anaandika hivi:
Neno Hakuna anaandika akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada anaandika Hibada, hifadhi anaandika ifadhi, akiba anaandika hakiba, usitupe anaandika husitupe, mahindi anaandika maindi, hayupo anaandika ayupo. n.k.
Yani nimebaki najiuliza hiki ni kiswahili cha kisasa au?
Nimecheka sana!Afadhali wewe unaacha kuchati naye, mimi huwa nazima na simu na kutoa betri kabisa Mpaka kesho, natumia line nyingine na simu nyingine
Hakuna cha bora hapo, yote majinga majinga tu!Bora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Mi mwenyewe kama mtu anafundisha au ameleta hoja kwenye mitandao akaandika hivyo huwa napita tu sisomi kwa sababu inachosha kusoma vitu visivyoeleweka. Unakuta hata baadhi ya waandishi wa habari wanaoandika hivyo.Ukiniandikia msg yenye maneno hayo sikujibu milele.
Unaposema haina tofauti na lugha ya Kiingereza una maana gani mkuu?Hiyo ndiyo lugha ya Kiswahili ya watu wa sasa (kizazi kipya). Lugha ya Kiswahili kwa sasa haina tofauti na Lugha ya Kiingereza kwa sasa. Kiswahili kimepoteza hadhi.
Ukelewe ni wapi huko? Au na wewe ni wale wale! Ulimaanisha ukerewe!?Leo asubuhi kuna jamaa yangu toka ukelewe aliniandikia:- VIPI MUMEHENDA MAZOHEZINI .
Hahahaha, kweli mkuhu mkelimahanisha ukerewe!Ukelewe ni wapi huko? Au na wewe ni wale wale! Ulimaanisha ukerewe!?
Ww kama mm nakereka mpaka basi yaani sipendi hata kidogoBora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Hahahahaaaaa MKWEPA KODIAfadhali wewe unaacha kuchati naye, mimi huwa nazima na simu na kutoa betri kabisa Mpaka kesho, natumia line nyingine na simu nyingine