thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
[emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali wewe unaacha kuchati naye, mimi huwa nazima na simu na kutoa betri kabisa Mpaka kesho, natumia line nyingine na simu nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali wewe unaacha kuchati naye, mimi huwa nazima na simu na kutoa betri kabisa Mpaka kesho, natumia line nyingine na simu nyingine
Correct!Hiyo ni athari ya lugha mama, na hao ni watani wangu wa kutokea mkoa wa Kagera wanaojisifu sana kwa usomi,na maarufu sana kwa ulaji wa panzi wa kijani.
[emoji3][emoji3][emoji3]Leo asubuhi kuna jamaa yangu toka ukelewe aliniandikia:- VIPI MUMEHENDA MAZOHEZINI .
Na wewe unapata wapi muda wa kuchat na mwanaume mwezako.Bora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
mkuu wapi nimeandika kuwa nachat Na mwanaume mwenzangu mbona unanilisha maneno.Na wewe unapata wapi muda wa kuchat na mwanaume mwezako.
Baada ya kupigiana simu muongee mambo ya msingi mnapoteza muda kwenye kuchat
Nmekosea kuongeza neno mwanaume. So tuseme unachat na mwanamke au wanawake tumkuu wapi nimeandika kuwa nachat Na mwanaume mwenzangu mbona unanilisha maneno.
Na wewe ni walewale, badala ya kuandika "mkuu "unaandika "mkuhu" duuu!hovyo kabisa!.Hahahaha, kweli mkuhu mkelimahanisha ukerewe!
Na wewe ni walewale, andika vizuriMi bhana (nafanya makusudi) sina clue kabisa hao watu wanaweza kuwa ni wa asili gani ila kama nataka kuwaamini amini hivi... Kilimanjaro, Kagera au mkoa mwingine wowote ule unaojivuta jivuta kidogo kielimu kama vile Mbeya!
Nasema haya kwa sababu nashawishika kuamini kwamba, ni hiyo mikoa ndiyo huenda ina watu wengi mitandaoni kutokana na exposure yao ya elimu! Na ni huko mitandaoni ndiko zimeshamiri "akuna yeyote wa kumcheka mwenzake apa, mbona ata uko kwenu wapo na kama hunabisha; sema!"
Vipi hapo kwenye "Ukelewe" unadhani na wewe upo sahihi!!! kua makini katika kukosoa watu kumbe hata wewe ulifeli kwenye irabu na silabi hujui L & R zinatumikajeLeo asubuhi kuna jamaa yangu toka ukelewe aliniandikia:- VIPI MUMEHENDA MAZOHEZINI .
Acha kukurupuka... soma, elewa kisha toa maoni!Na wewe ni walewale, andika vizuri
Hi! hi! hiii!Bora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Harafu wananikeraaaaahBora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.