Hiki ni Kiswahili cha kisasa au?

Hiki ni Kiswahili cha kisasa au?

Bora hao kuliko Wale wa kuandika jomoni,bhana,xaxa,p,pouwah. Me akiandika maneno hayo kwenye text message naacha kuchat nae hapo hapo.
Na wewe unapata wapi muda wa kuchat na mwanaume mwezako.

Baada ya kupigiana simu muongee mambo ya msingi mnapoteza muda kwenye kuchat
 
Na wewe unapata wapi muda wa kuchat na mwanaume mwezako.

Baada ya kupigiana simu muongee mambo ya msingi mnapoteza muda kwenye kuchat
mkuu wapi nimeandika kuwa nachat Na mwanaume mwenzangu mbona unanilisha maneno.
 
Mi bhana (nafanya makusudi) sina clue kabisa hao watu wanaweza kuwa ni wa asili gani ila kama nataka kuwaamini amini hivi... Kilimanjaro, Kagera au mkoa mwingine wowote ule unaojivuta jivuta kidogo kielimu kama vile Mbeya!

Nasema haya kwa sababu nashawishika kuamini kwamba, ni hiyo mikoa ndiyo huenda ina watu wengi mitandaoni kutokana na exposure yao ya elimu! Na ni huko mitandaoni ndiko zimeshamiri "akuna yeyote wa kumcheka mwenzake apa, mbona ata uko kwenu wapo na kama hunabisha; sema!"
Na wewe ni walewale, andika vizuri
 
Leo asubuhi kuna jamaa yangu toka ukelewe aliniandikia:- VIPI MUMEHENDA MAZOHEZINI .
Vipi hapo kwenye "Ukelewe" unadhani na wewe upo sahihi!!! kua makini katika kukosoa watu kumbe hata wewe ulifeli kwenye irabu na silabi hujui L & R zinatumikaje
 
Back
Top Bottom