Hiki ni kitu gani wakuu?

Hiki ni kitu gani wakuu?

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Naambatanisha picha, hivi vifaa naviona vingi huko highways, ni vitu gani kazi yake nini?
20241223_180951.jpg
 
Vimewekwa vingi sana Highway ya Dar kuelekea mikoani
Camera za traffic hizo, zimewekwa maeneo yenye 50KH. Yani zikianza kufanya kazi na ukifanya kosa hilo eneo unalambwa fine automatic na utatumiwa control number kama ilivyo kwenye packing. Hata njia ya Dom - Arusha vipo vya kutosha.
 
Camera za traffic hizo, zimewekwa maeneo yenye 50KH. Yani zikianza kufanya kazi na ukifanya kosa hilo eneo unalambwa fine automatic na utatumiwa control number kama ilivyo kwenye packing. Hata njia ya Dom - Arusha vipo vya kutosha.
Nashukuru sana Mkuu naona wamekuja kivingine
 
Naambatanisha picha, hivi vifaa naviona vingi huko highways, ni vitu gani kazi yake nini?View attachment 3185101
Speed Cameras.

Kwenye nchi za wenzetu ambako wameendelea zaidi camera za namna hiyo katika Highways zinakuwa zina matumizi mengi zaidi ya kupima mwendo wa magari, ni Multi-purpose Cameras. Kazi zake zinaweza kuwa:-
1. Speed Camera for traffic movements.
2.Security Cameras for Surveillance systems.
3. Cameras for Car Tracking and Tracings purposes, etc., etc.
4. Camera for Traffic/Car Geo-fencing purposes.
5. Becon Locators for Roads and/or Streets identify systems, Post Codes or Area Codes, etc.
 
Back
Top Bottom