Sasa kipi cha ajabu hapo?wajuvi naomba kuelewa maana sielewi baada ya kukagua dirisha la vioo nikakuta hikiView attachment 2430140
Yan mtihaniNiangalie tu nisije nikamaliza bundle langu kwa nyuzi za ajabu ajabu Kama huu.
Kala kijiti, lakini kumbe ubongo bado haujakomaa.Bangi siyo mbaya ila watu ndo wabaya
ππ€£π€£π€£π€£Kala kijiti, lakini kumbe ubongo bado haujakomaa.
Nenda kamuulize fundi aliyekutengenezea dirisha nyau wewe, sehemu zozote za maungio lazima fundi aweke alama ili wakati wa kuunga asipate tabuWajuvi naomba kuelewa maana sielewi baada ya kukagua dirisha la vioo nikakuta hiki
View attachment 2430140
Wewe ni mjinga[emoji867][emoji527] kuuliza sio ujinga