Hilda Newton: Nimepokea taarifa kuwa Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi

Hilda Newton: Nimepokea taarifa kuwa Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kutoka account ya X ya Hilda Newton:



HN.png


Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa Wakili Advocate Mahinyula

Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu

NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.

Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hiloHuu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.
 
Kutoka account ya X ya Hilda Newton:

Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa Wakili Advocate Mahinyula

Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu

NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hilo
😭
Huu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.
Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
 
M
Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
miyeyusho hawa, na wanajifanya madvocate wakubwa wanao wao
While tunfahamu mtaani kuna manguli wameshindikana.
 
Kutoka account ya X ya Hilda Newton:

Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa Wakili Advocate Mahinyula

Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu

NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hilo
😭
Huu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.
Wanachadema wakaandamane na uongozi mpya
 
Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
CHADEMA imekufa
 
M

miyeyusho hawa, na wanajifanya madvocate wakubwa wanao wao
While tunfahamu mtaani kuna manguli wameshindikana.
Hiyo taaluma imedharaulika sana hebu ona Mwabukusi alivyogeuka taahira
 
Back
Top Bottom