Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kutoka account ya X ya Hilda Newton:
Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa Wakili Advocate Mahinyula
Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu
NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.
Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hiloHuu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.
Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu
NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.
Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hiloHuu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.