CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Aliahidiwa ubunge wa vitu maalum na Mbowe sasa anaona ndoto yake imepotea.mkuu umehama chadema kisa lissu š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliahidiwa ubunge wa vitu maalum na Mbowe sasa anaona ndoto yake imepotea.mkuu umehama chadema kisa lissu š¤£
sasa si abaki akijenge chamaAliahidiwa ubunge wa vitu maalum na Mbowe sasa anaona ndoto yake imepotea.
Angekuwa sio fisadi angemuondoa Assad kihuni ofisini? Alikuwa ni fisadi tu kama wenzake.Yule alikuwa katili Kwa mafisadi ndo maana fisadi mbowe na wengine walimwogopa kama ukoma
Anaendesha kampeni za kumchafua Lissu akiamini danga lake linaweza kurudi tena kuwa mwenyekiti.sasa si abaki akijenge chama
Zaidi ya ile ya king'ang'anizi kulamba asali?Makamanda mbona hatuoni amsha amsha??
Safi sana !!!!!Safi sana
Hawa vijana wapumbavu wakalime
Next ....
Huo ni uonevuKutoka account ya X ya Hilda Newton:
Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa Wakili Advocate Mahinyula
Anasema kwamba leo Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi upande wa Jamhuri wakasema kwamba hawana nia ya kuelendele kesi hivyo Mohamed akaachiwa lakini cha kusikitisha akakamatwa tena na Polisi na sasa wanampeleka Mahakama ya Kisutu
NB: Enzi za Magufuli Mwaka 2019 Mohamed Issa akiwa kaimu Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Pwani alikamatwa na Polisi wakambambika kesi ya Uhujumu Uchumi. Kwasababu kesi yake haikuwa na dhamana so akapelekwa gereza la Segerea ambako amekuwa akiishi kama Mahabusu mpaka leo.Katika kipindi chote iko cha miaka 7 leo ni mara ya tatu upande ya Jamhuri wanasema hawana nia ya kuendelea na kesi wanamwachia halafu wanamkamata tena na kumshtaki kwa kosa hilo hiloHuu uonevu lazima ufike mwisho, mwachieni kijana wa watu kama ni kumtesa basi mmeshamtesa vya kutosha.![]()
Yule hakuwa na madhara!! Tunawataka muingie barabarani maana hamna mlamba asali sasa!! Nitafurahi kukuona kula kwa tindo ukikinukisha barabarani.Zaidi ya ile ya king'ang'anizi kulamba asali?
Sasa kwanini uliyemkamata useme huna nia ya kuendelea na kesi,halafu tena anakamatwa kwa kosa lilelile?Mtu akiwa mwizi, halafu mwanachadema, hairuhusiwi kumkamata?
Hapana, hatutakinukisha tutasubiri Mbowe atushauri tuingie kwenye maridhiano.Yule hakuwa na madhara!! Tunawataka muingie barabarani maana hamna mlamba asali sasa!! Nitafurahi kukuona kula kwa tindo ukikinukisha barabarani.
Alikuwa anamtaka Mbowe huyo. Hasira hazijaishamkuu umehama chadema kisa lissu š¤£
We jamaa bado hujakubali Mbowe alishindwa uchaguzi.Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
Weka jina lako halali nawe tukutangulize peponi dadaHuyu maza naye ni wa motoni tu
Huo wizi ataufanyia wapi akiwa upinzani ndugu? Juke kuna very elites ambao wqnawajibishana kwa haki tofauti na hii ishu iliyoanza leo kisa tu aendelee kukaa mahabusu. Embu jiongeze bhasi, ifikie kipindi tuwe binadamu bila kuangalia hali za familia zetu bali taifa zimaMtu akiwa mwizi, halafu mwanachadema, hairuhusiwi kumkamata?
Sasa kama.amehujumu kwa nini wamwachie?Sasa kama amehujumu asikakamatwe?
Sasa kama ameachiwa mnalalamika Nini?Sasa kama.amehujumu kwa nini wamwachie?
Alipowekwa ndani kwa miaka yote hiyo Mbowe alikuwa wapi?! Mbona hamkumlilia Mbowe amsadie? Leo mnaleta maneno maneno ya nongwa?!Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi