Hilda Newton: Nimepokea taarifa kuwa Mohamed Issa amefikishwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi

Huo ni uonevu
 
Zaidi ya ile ya king'ang'anizi kulamba asali?
Yule hakuwa na madhara!! Tunawataka muingie barabarani maana hamna mlamba asali sasa!! Nitafurahi kukuona kula kwa tindo ukikinukisha barabarani.
 
Yule hakuwa na madhara!! Tunawataka muingie barabarani maana hamna mlamba asali sasa!! Nitafurahi kukuona kula kwa tindo ukikinukisha barabarani.
Hapana, hatutakinukisha tutasubiri Mbowe atushauri tuingie kwenye maridhiano.
 
Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
We jamaa bado hujakubali Mbowe alishindwa uchaguzi.
 
Mtu akiwa mwizi, halafu mwanachadema, hairuhusiwi kumkamata?
Huo wizi ataufanyia wapi akiwa upinzani ndugu? Juke kuna very elites ambao wqnawajibishana kwa haki tofauti na hii ishu iliyoanza leo kisa tu aendelee kukaa mahabusu. Embu jiongeze bhasi, ifikie kipindi tuwe binadamu bila kuangalia hali za familia zetu bali taifa zima
 
Huyo Mahinyila na Lissu si walionesha uwezo wa kufanya fujo Za kitoto kwenye chaguzi Za CHADEMA?? Vipi hawajaingiza tu watu barabarani kumkomboa Kijana??? Acheni kulia lia tupo tayari kwa mshikemshike mliotuahidi
Alipowekwa ndani kwa miaka yote hiyo Mbowe alikuwa wapi?! Mbona hamkumlilia Mbowe amsadie? Leo mnaleta maneno maneno ya nongwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…