MC RAS PAROKO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 623
- 606
Natumai mu wazima tena siku hii ya leo mkiendelea na mapambano dhidi ya umaskini niwape pole sana na niwatie moyo tu mapambano ni magumu ila tutashinda pamoja.
Bila kupoteza muda nianze moja kwa moja nipo mkoani Mara na nimepitia baadhi ya wilaya kama serengeti,tarime n.k lakini nimefika eneo la Isenyi nikaona kuna fursa ya biashara pale kwa mtu mwenye mtaji akifungua kiwanda kidogo cha mikate atapata faida na kurudisha hela yake kwa muda mfupi sana kutokana na kwamba hakuna kitu kama hicho kule na kuna mahitaji ya kutosha kufungua kiwanda pale watu wanategemea mikate inayotoka Bunda,Arusha,Mugumu kwa mtu au kikundi ambao wanaweza kujipanga wachangamkie fursa hiyo ningekuwa na uwezo ningeifanya hii biashara lakini tatizo ni mtaji kwa hiyo wenye hela zenu jamani msifurahie tu kuziona bank ila zungusheni ziongezeke kwa kuwekeza hapo. Nawasilisha
Bila kupoteza muda nianze moja kwa moja nipo mkoani Mara na nimepitia baadhi ya wilaya kama serengeti,tarime n.k lakini nimefika eneo la Isenyi nikaona kuna fursa ya biashara pale kwa mtu mwenye mtaji akifungua kiwanda kidogo cha mikate atapata faida na kurudisha hela yake kwa muda mfupi sana kutokana na kwamba hakuna kitu kama hicho kule na kuna mahitaji ya kutosha kufungua kiwanda pale watu wanategemea mikate inayotoka Bunda,Arusha,Mugumu kwa mtu au kikundi ambao wanaweza kujipanga wachangamkie fursa hiyo ningekuwa na uwezo ningeifanya hii biashara lakini tatizo ni mtaji kwa hiyo wenye hela zenu jamani msifurahie tu kuziona bank ila zungusheni ziongezeke kwa kuwekeza hapo. Nawasilisha