Hili Battle la Kendrick Lamar na Drake mnalionaje wakuu sio kwamba litaishia kubaya?

Hili Battle la Kendrick Lamar na Drake mnalionaje wakuu sio kwamba litaishia kubaya?

BEST 001

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2021
Posts
242
Reaction score
475
Screenshot_20240501-010912_1.jpg

Picha: Kushoto ni Kendrick Lamar, kulia ni Drake (Credit: Getty images)

Baada ya gumzo kubwa kutokea pale metro na future kumshirikisha KENDRICK LAMAR kwenye track yao ya LIKE THAT na Kendrick Lamar kutema shit kubwa sana kuhusu BIG 3 na kuwa yupo BIG mwenyewe , ilimuumiza kichwa sana Drake na kuamua kuachia diss track mbili mfululizo ambazo ni PUSH UPS na TAYLOR MADE FREESTYLE ambapo Drake alitumia AI za 2PAC na SNOOP DOG kuwadis Kendrick lamar na metro boomin na ali flow kisasa na vizuri

Sasa Leo kwenye pita pita zangu mtandaoni nikaona bwana Kendrick Lamar kaangusha DISS HEAVY kwa kijana Drake linaitwa euphoria nenda kalisikilize pitia lyrics utaona kuwa hii ngoma ni moja wapo ya diss track bora kutokea duniani ni diss track ya dakika 6 ila humo ndani mwamba kamtafuna vibaya mpaka kucha rangi.

Vipi wakuu mnaonaje hili bifu lao halitoishia kwenye yale ya BIGGY na PAC maana humo ndani drake kafichwa ningekua mimi na moyo wangu wa mtafute mtafute ningeshamsaka jamaa maana sio kwa diss bar hizi mfano wa bars ni hizi;

C3E53873-EAD6-4CF7-8A99-1557D13DFFBE.png
023BD099-7F5F-4437-A662-E06908FB333A.png
 
Euphoria ilikua kawaida tu, ila hii 6:16 in LA Kungfu Kenny kaonesha ubora wake... Sioni Drake akimudu kuijibu hiyo.

Wengi ambao tulikua tunaidiss Euphoria sio kwa sababu eti Tunahisi Drake ni mkali kuliko K. dot, ni kwa sababu tulijua jamaa amecheza chini ya kiwango na angeweza kufanya kitu bora zaidi ya Euphoria. Kendrick ni kama Alikiba tu, wana vipaji vikubwa ila wavivu... Kendrick ni kama analazimishwa na mashabiki zake kufanya muziki, sio GOAT tena crown kamuachia Cole. Angekua na consistency saivi mashabiki tungekuwa hatujui nani namba moja kati yake yeye na Cole.

Hii battle ingekua ya moto kama Cole asingerudisha majeshi nyuma. Drake anabakwa.

Oh umeuliza kama bifu litaishia kubaya? Linaweza kuishia kubaya na ndo hizi bifu huwaga hivyo, bora Cole aliona mbali akaamua yaishe watu wakaponda, hao wajinga wawili hata wakiuana game iko kwenye mikono salama.
 
Euphoria ilikua kawaida tu, ila hii 6:16 in LA Kungfu Kenny kaonesha ubora wake... Sioni Drake akimudu kuijibu hiyo.

Wengi ambao tulikua tunaidiss Euphoria sio kwa sababu eti Tunahisi Drake ni mkali kuliko K. dot, ni kwa sababu tulijua jamaa amecheza chini ya kiwango na angeweza kufanya kitu bora zaidi ya Euphoria. Kendrick ni kama Alikiba tu, wana vipaji vikubwa ila wavivu... Kendrick ni kama analazimishwa na mashabiki zake kufanya muziki, sio GOAT tena crown kamuachia Cole. Angekua na consistency saivi mashabiki tungekuwa hatujui nani namba moja kati yake yeye na Cole.

Hii battle ingekua ya moto kama Cole asingerudisha majeshi nyuma. Drake anabakwa.

Oh umeuliza kama bifu litaishia kubaya? Linaweza kuishia kubaya na ndo hizi bifu huwaga hivyo, bora Cole aliona mbali akaamua yaishe watu wakaponda, hao wajinga wawili hata wakiuana game iko kwenye mikono salama.
Ni noma sana naskia kaachia nyingine inaitwa not like us mkubwa Kendrick
 
Back
Top Bottom