Hili bunge limejaa washenzi na wahuni sijapata kuliona toka tupate uhuru, Rev. Mtikila

Hili bunge limejaa washenzi na wahuni sijapata kuliona toka tupate uhuru, Rev. Mtikila

Kwa waliomsikia BBC.

Mchungaji Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon atalicha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.

Nasema hivi wambieni kabsa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.

Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.

Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.

Huyo ni rev. Christopher Mtikila.

Source: BBC swahili

Ni kweli mijitu inashughulikia posho. Stupid, mkusanyiko wa washenzi na wahuni wa posho. garbage in garbage out! Lazima itoke "katiba" garbage. JK umeweka historia ya mabaya kaka yangu! Washauri wako wabaya
 
Nahc ameogopa kesi ila kama ungemckiliza alitaka kusema hata alietuteua nae mhuni

uciniulize nan
 
ni kweli hali ni mbaya sana kule bungeni kila mtu ana sauti na anataka ajione yeye mjanja kuliko mwenzie ni wahuni tu!
 
Kama aliyewachagua anadaiwa kuwa dhaifu, unategemea aje na bunge la aina gani. Eti Jesca Msavatavangu anawakilisha kundi la watu wenye malengo yanayosabihina, wakati ni Mwenyekiti mchovu wa CCM mkoa wa Iringa, ameshindwa kutujengea chama hapa Iringa, atakuwa na mchango gani kwenye katiba. Mtikila you very right.
 
Hahahahaaa angemalizia kuwa waliowachagua na waliochaguliwa wote ni ....na wa...... wakubwa na hicho kinachojadiliwa nai cha..... na tena cha ........kabisaaaaaa. na wote watakaosikiliza ni wa...... na tena ni wa ......... kabisa
Wewe Kijana wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????????????
 
siku nyingi hatujaona comedy mpya maana akina masanja tumeshawachoka acha tuenjoy vichekesho vipya

Sawa tuenjoy kwa muda wa miezi hii mitatu( izo komedi) ila katiba itatuenjoy kwa miaka kadhaa, au hujasikia huko kenya mambo yaliyoletwa na katiba mpya?hadi kuku walipiwa kodi. Let us wait the time will tell.
 

yaani walipoanza tu vikao wameaanza na kugomea posho.....

Mimi nashauri wanaogomea posho ya 300,000/= wajitoe ili waitwe wengine watakaokuwa tayari kujadili rasmu kwa kiasi hicho. Watupe tu utaratibu tuliotayari kwa posho hiyo tujiandikishe maana wametuacha watu ambao tupo deep sana kuhusu katiba na kupeleka wasiojua kilichowapeleka huko. Kama sasa tumeanza kuambiwa watu wamepelekana kinyumba na wengine wameenda kwakuwa majina yafanana. Ukweli baadhi ya walioteuliwa kwenda huko hawastahili kabisa na wameanza kujitambulisha kwa vitendo vyao.
 
WENYE BUSARA NA TAFAKARI ZA KINA KAMA PROF.ISSA SHIVJI WAMEACHWA WAMEJAZWA MAVIJANA YA BARA NA VISiWANI NA MASISTA DU! HOVYO! HOVYO! HOVYO!
 
Nowonder rasimu itakayotoka nayo itakuwa ya kihuni tu. This is why I can't trust Politicians! Most especially Tanzanian Politicians!
 
Haswa Watanganyika, ila Wazanzibari walishaamka mapema mno mkuu.

Bado hawajamka kama wangeamka wasingekuja kwenye rasimu walosema hawajashirikishwa? Na pia bado wamelala kwasababu mpaka sasa hakuna kinachoendelea juu ya kudai nchi yao zaidi ya kufanya vurugu za umwagiaji wa tindikali na mengine mengi! Usanii ni kwa nchi yote angalia Ofisi ya makamu wa raisi wanaofanya kazi wengi ni Watanganyika? Kudanganywa mithili ya mikataba ya wakoloni bado inafanya kazi! Lakini kelele za kuamsha watu kwa sasa ndo nyingi maaana yake walioanza kuamka toka usingizin ni wengi na sasa kwa vile wameamshwa na wao wanataka wote waamke maana wamesumbuliwa! Maana mtu akinyimwa kitumbua ndo anakumbuka kuwa Zanzibar ni nchi lakin akiendelea kupewa kitumbua Zanziba ni sehemu ya muungano na si nchi
 
nasema hivi waambieni kabisa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mashenzi mnayoendelea kuyaona ..ccm wamefanya njama zote kujaza wajumbe wa ccm kule hata katiba itakuwa ya kiccm kikwete sijui anataka kuipeleka hii wapi nchi yetu tafakari chukua hatua acha ushabiki wa kijinga..
 
Wewe ndio Mtikila?????? Jitoe basi kwenye hilo bunge la kihuni.

Tiba
 
Kwa waliomsikia BBC.

Mchungaji Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon atalicha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.

Nasema hivi wambieni kabsa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.

Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.

Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.

Huyo ni rev. Christopher Mtikila.

Source: BBC swahili

Huyu Mtikira jembe sana
 
Back
Top Bottom