Nimecheck nalo mkuu,nimelikuta la sheria za Tz mkuu. Asante sanaDalmax liko vzr kwa sheria za nchi unayotaka. Mm si mpenzi wa games lkn hili nimetulia.
Kuna kipindi limenibana nika play sare, likagoma.
Dooooh, nadhani hata wanafikiria kunifungia nisicheze nalo.Narudi kupambana nalo! Ntaleta mrejesho nacheza nalo game 3
kweli mkuu kuna kopi nilikuwa nampiga au anatoa suluhu ,lakini sasa napotea zoteSiku za usoni dalmax checkers ndio atakuwa bingwa wa TZ , kila mchezo anashinda ana update routine automatically- thanks to machine learning / artificial neural networks.
Kwamba kashakusoma co?kweli mkuu kuna kopi nilikuwa nampiga au anatoa suluhu ,lakini sasa napotea zote
Yes computer zinasoma kupitia mfumo wa articial neural networks algorithm. Mfano computer kutambua fingerprints au picha.Computer inasoma kwa kupewa mifano.Kwamba kashakusoma co?
Tukubali tu wapo vzur japo mafundi wapo pia huku mitaani ni wakati sasa wa kuonesha ujuvi wa hz mamboYes computer zinasoma kupitia mfumo wa articial neural networks algorithm. Mfano computer kutambua fingerprints au picha.Computer inasoma kwa kupewa mifano.
Nakubaliana na wewe maana mfano ukamfunga kwa copy fulani ukirudia tena kwenye mchezo mwingine anabadirika na humfungi tenaYes computer zinasoma kupitia mfumo wa articial neural networks algorithm. Mfano computer kutambua fingerprints au picha.Computer inasoma kwa kupewa mifano.
kanisoma ninachofanya ni kutengua kopi zakeKwamba kashakusoma co?
Kumpiga chini ya dk 1 inatakiwa usiku sana nikiwa nmetulia, hapa nipo njianView attachment 1456884
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo wa kucheza naye sasa hapo ni kuonesha uwezo tu lazima uwe flexible ngoma uicheze kadri ya uwezo wake na sio wa kutembea na copy.....jamaa ni zaid ya hawa wapinzani wetu weng wa mtaanikanisoma ninachofanya ni kutengua kopi zake
Mkuu draft langu.ni kama.hilo ila sioni Tanzania rules?Chezeni ya Russian acheni hizo nyepesi ukifika level niliyofika basi wewe umeivaView attachment 1446229
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuHongera sana Radicals KETE NGUMU bingwa wa JF bila kumsahau wa ukae bin kulijua noma sana ww jamaa na mwisho kabisa mtu mbaya IFRS
Poleni wezangu n mie ambao tunachezea kupigo [emoji23][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app