Wewe ulijitokeza,na je ulipiga kura mara ngapi,ili kuhakikisha ushindi wizi?Ungejitokeza tarehe 23/9/2024 ningekuelewa kweli unataka mabadiliko lakini zaidi ya hapo nakuona wewe ni mpiga kura mtiifu wa CCM!
Chama chawala kimekwisha kwisha kabisaWatanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinacotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Wewe mchango wako ni upi?:Watanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinacotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Hivi wewe kweli unasapoti hili genge?!Wewe mchango wako ni upi?:
Anzisheni chama kipya ila sio vyama vilivyopo.Watanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinacotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Watanzania mpo nyuma sana kiakili na hamuelewi maana ya upinzani wenye nguvu. Huko mnapokwenda kuomba fedha kila siku wanabadilishana madaraka angalia Trump ameondoka kidemokrasia na anarudi kidemokrasia.Anzisheni chama kipya ila sio vyama vilivyopo.
Akuna kinachodumu daimaWatanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinacotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Watanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinacotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Hahahaaaa!Tanzania tunasubiri muda tu ufike 2025 tumtoe huyu mharibifu wa Nchi yetu toka tupate uhuru.Tutamtoa kwenye sanduku la kura na akileta mbinu zake chafu tunamuondoa Kwa nguvu kama alivyoondolewa Kwa nguvu bashal Assad huko syria
Wewe nawe mmojawapo wa genge hilo.Hahahaaaa!
Akili za nyumbu wa mbowe bwana, zinashangaza sana.
Genge lipi?!!! Mi Niko huru kifikra, sio nyumbu Mimi.Wewe nawe mmojawapo wa genge hilo.
Vizuri sana kama hushabikii genge hilo.Genge lipi?!!! Mi Niko huru kifikra, sio nyumbu Mimi.
Kwani hao Ghana walikuwa na namna Kama ya tarehe 23/9/2024?Ungejitokeza tarehe 23/9/2024 ningekuelewa kweli unataka mabadiliko lakini zaidi ya hapo nakuona wewe ni mpiga kura mtiifu wa CCM!