Watanzania tuwe makini na hawa watu wanaojinadi kama chama kinachotetea maslahi ya watanzania.
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!
Chama hiki kimepoteza muelekeo na waliopo wanafanya kazi ya kulinda maslahi yao binafsi.
Tumesikia huko Ghana upinzani wamechukua madaraka sijui hapa kwetu tunasubiri nini!