Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
Hili gogo ni la kazi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupikia wakiwa vitani.Hili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Atakuwa ameelewa mkuu.Kuni ya kupikia....si unajua vitani hakuna gesi wala mkaa!
Gogo la chooni kwaajili ya kutengeneza umemeHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Kuonyesha umahili wetu kutembea na mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].nasikia huyo jamaaa anaweza fika marekani na hilo gogo tena kwa mguuu.Hili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
[emoji3][emoji3]Kuonyesha umahili wetu kutembea na mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].nasikia huyo jamaaa anaweza fika marekani na hilo gogo tena kwa mguuu.
MTOHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Kwani mpingo unafaa kwa kuni wakati wa dharura?Kuni ya kupikia....si unajua vitani hakuna gesi wala mkaa!
Nishati hiyoHili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Mkuu mpingo unawaka taratibu sana,ni mzuri kwa camp fire!Kwani mpingo unafaa kwa kuni wakati wa dharura?
Huwa Kuna haja gani ya haya maonesho ya kubeba madude mazito,yana thibitisha nini?ubora,weredi??siku hizi vita zinapiganwa kama gem za computer,sio kubeba madude mazito?Hili gogo ni la kazi gani
View attachment 2039472
Ujue ni nini wewe ni unafiki tu uliokujaa,, kumbuka hao ni wanajeshi, na walichobeba ni magogo au we ulitaka waingie huku wanajiramba midomo,, usipende kuiga kila unachokisikia vijiweni huko na kukileta humu,,Ni swali tu wala hata sijapinga nataka tu kujua