Hili goli la uwanja wa taifa lina bahati mbaya?

Hili goli la uwanja wa taifa lina bahati mbaya?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hii post nimetaka kuileta muda kidogo ila naamuaga kupotezea ila leo nimelazimika kuileta. Kuna hili goli sijui ndiyo la kaskazini, kila derby at least za hivi karibuni lazima mpira ugonge mwamba na tena mpira unagonga karibu eneo lile lile.

Nikikumbuka hivi karibuni:
1. Penati ya Mukwala iligonga ule mwamba (Simba Day)
2. Kick ya Boka iligonga mwamba wa goli hilo hilo (Yanga Day)
3. Shuti la Prince Dube kwenye ngao ya jamii liligonga ule mwamba
4. Leo, shuti la Aziz Ki limegonga ule mwamba

Ongezea matukio mengine unayokumbuka.
 
Hii post nimetaka kuileta muda kidogo ila naamuaga kupotezea ila leo nimelazimika kuileta. Kuna hili goli sijui ndiyo la kaskazini, kila derby at least za hivi karibuni lazima mpira ugonge mwamba na tena mpira unagonga karibu eneo lile lile.

Nikikumbuka hivi karibuni:
1. Penati ya Mukwala iligonga ule mwamba (nafikiri ilikuwa Simba Day)
2. Shuti la Prince Dube kwenye ngao ya jamii liligonga ule mwamba
3. Leo, shuti la Aziz Ki limegonga ule mwamba

Ongezea matukio mengine unayokumbuka.
Goli la leo limemgonga mwamba, (goal keeper)
 
Hii post nimetaka kuileta muda kidogo ila naamuaga kupotezea ila leo nimelazimika kuileta. Kuna hili goli sijui ndiyo la kaskazini, kila derby at least za hivi karibuni lazima mpira ugonge mwamba na tena mpira unagonga karibu eneo lile lile.

Nikikumbuka hivi karibuni:
1. Penati ya Mukwala iligonga ule mwamba (nafikiri ilikuwa Simba Day)
2. Shuti la Prince Dube kwenye ngao ya jamii liligonga ule mwamba
3. Leo, shuti la Aziz Ki limegonga ule mwamba

Ongezea matukio mengine unayokumbuka.
Huo ni Mpira usiwaze uchawi hapo
 
Pale Shamba la Bibi Goli la kaskazini a.k.a yake lilikua liki itwa Goli lisilo lala na Njaa.
 
Kutoka kushinda 5 za mchongo hadi kushinda kagoli kamoja ka papatu papatu na ka kujifunga tena dakika za mwisho za mchezo.

Uongozi unipe wachezaji wawili tu wa viwango halafu waniachie timu mimi kama mtanifunga.
Futa basi machozi yatakwisha
 
Kutoka kushinda 5 za mchongo hadi kushinda kagoli kamoja ka papatu papatu na ka kujifunga tena dakika za mwisho za mchezo.

Uongozi unipe wachezaji wawili tu wa viwango halafu waniachie timu mimi kama mtanifunga.
Mtaendelea kugongwa mpaka akili ziwakae sawa kama akili zenyewe ndio hizi, wenzako wanacheza mechi kimbinu na kiufundi wewe unabaki na mawazo ya kimaskini ya Kuna siku nitatajirika bila kufanya kazi🤣🤣
Wamekufunga mechi 4 mtawalia na wamebeba point muhimu nyie endeleeni na kupiga ramli za goli 5 sijui nyie mlizipata lini!
 
Back
Top Bottom