Hili group la damu linanitesa sana, naomba ushauri

Hili group la damu linanitesa sana, naomba ushauri

Nimekusoma je ndio mnaweza ikawa sababu ya kushindwa kuhimili ugonjwa kutopona na kujirudia mara mwa mara?
 
Nadhani sabab ni mazingira unayoish kuna vijidudu vingi au immunity system yako ipo low,jarib kumentain usafi na vyakura vinavyoongeza kinga mwilin eg matunda ,tangawiz ,mdarasin ,limao,machungwa,n.k
 
Unatumia net mkuu!?isijiekua hutumii net af unalalamika malaria deileeee
 
Group halina uhusiano na na magonjwa labda ungesema transfussion. Hata hivyo AB ni univesal recepient, ni zuri sana maa unapokea dam ya group lolote. Immunity ipo low, ijtahidi kula balanced diet na mazingira masafi maana magonjwa mengi yanasababishwa na bacteria, epuka mbu na mwisho check for HIV.
 
Group halina uhusiano na na magonjwa labda ungesema transfussion. Hata hivyo AB ni univesal recepient, ni zuri sana maa unapokea dam ya group lolote. Immunity ipo low, ijtahidi kula balanced diet na mazingira masafi maana magonjwa mengi yanasababishwa na bacteria, epuka mbu na mwisho check for HIV.
Nimepima HIV na magonjwa mengine yasiyotibika sina
 
Nina group la damu A+B yaani kwa mwezi lazima niugue homa na malaria kuu sina raha ya kuishi duniani. Nimepima magonjwa yote yasiyo na tiba sina. Wataalam nisaidieni.
Una malaria sugu wewe,ndio maana ukitumia dawa mseto haikusaidii, jaribu kumeza quinene tablets 2*3 kwa siku 7.
 
Malaria ina kinga! Kinga kuumwa na mbu, hutaugua malaria, zingatia kulala Kwenye chandarua, vaa nguo zinazofunika mwili, paka mosquito repellant, ... Jiepushe na mbu, utajiepusha na Malaria
 
Mwambie doctor akuandikie dawa zingine zitakaomaliza hiyo malaria mpaka kwenye ini.
Unapoishi puliza dawa ya wadudu mbu wafe.Tumia neti yenye dawa.
Funga milango na madirisha sanasana asubuhi sana na jioni.
Kama unakaa nje sana hususani muda wa usiku paka mosquito reppelent.
Ni vitu vidogodogo tu tunavyoambiwa kila siku tuzingatie usitafute sababu ngumu hiyo ni kazi ya daktari.
Kama umehamia mji mpya kama pwani dar yani maeneo ya joto kuugua hivyo malaria sio ajabu kwa hiyo zingatia kujikinga.
 
Mwambie doctor akuandikie dawa zingine zitakaomaliza hiyo malaria mpaka kwenye ini.
Unapoishi puliza dawa ya wadudu mbu wafe.Tumia neti yenye dawa.
Funga milango na madirisha sanasana asubuhi sana na jioni.
Kama unakaa nje sana hususani muda wa usiku paka mosquito reppelent.
Ni vitu vidogodogo tu tunavyoambiwa kila siku tuzingatie usitafute sababu ngumu hiyo ni kazi ya daktari.
Kama umehamia mji mpya kama pwani dar yani maeneo ya joto kuugua hivyo malaria sio ajabu kwa hiyo zingatia kujikinga.
Asante kwa ushauri
 
Nadhani sabab ni mazingira unayoish kuna vijidudu vingi au immunity system yako ipo low,jarib kumentain usafi na vyakura vinavyoongeza kinga mwilin eg matunda ,tangawiz ,mdarasin ,limao,machungwa,n.k
Mazingira ninayoishi yako vizuri
 
Sidhani kama kweli damu group AB ndo inasabisha magonjwa. Mimi Nina group AB la damu malaria huwa nasikia tu kwa watu nimewah kukaa miaka 6 sijatumia dawa wala malaria sijaumwa .

Kula chakula Bora kinachoenda kujenga mwili, mwili wako utakuwa Active kupambana na magonjwa. Siyo asubuhi unaanza kula chapati, maandaz, mkate. Unaanza siku Asubuhi na mboga za majani pembeni kuna mayai kienyeji unajuwa unaongeza vitamins gani.
Hiyo Chai yako na chapati unaongeza nini wakati mwili wako hata usipoupa chakula cha wanga, mwili unaweza kujitengenezea wanga wenyewe.
 
Back
Top Bottom