cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Wanaokucheka wewe kuandiika A+B waignore tu.. tena wajicheke kabisaaaa
Wao hawajui kufikiria nje ya box.. yaani wanapenda mtelemko.. hata kama umeikosea inavyoandika ni umeeleweka vizuri tu.. mjuaji mtambuaji aliye smart hawezi kukubeza.. bora hata wangeuliza kama ina +ve au -ve.
Umeweza kujua blood group yako AB.. wengi hawajui zao hata kwa bakora.
Pole na kuugua.. nitapenda kuisoma pia
Wao hawajui kufikiria nje ya box.. yaani wanapenda mtelemko.. hata kama umeikosea inavyoandika ni umeeleweka vizuri tu.. mjuaji mtambuaji aliye smart hawezi kukubeza.. bora hata wangeuliza kama ina +ve au -ve.
Umeweza kujua blood group yako AB.. wengi hawajui zao hata kwa bakora.
Pole na kuugua.. nitapenda kuisoma pia