mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Habari Wana JF najua mpo poa samahani kama nitakuwa nimewakwanza Kwa fikra hizi mnisamehe ila Wengi Wanaumia sana
Serikali hii inapesa za kulipia mashabiki pamoja na kuwapa pesa ya kujikimu huko South Africa, lakini mbona SIMBA SC walishawahi Kwenda South lakini hakuna mtu aliyejitokeza kuwalipia mashabiki kwenda huko??? Au tuseme yanga ndio imetawaliwa na serikali peke yake?
Hii serikali yetu pendwa Kama haijui Imeenda kutengeneza Tabaka la hatari sana katika wapenda soka nchini TANZANIA.
Je, Waliisubiria Yanga iwe robo ndio iaze kusaport? Kama ni hivyo iweje sasa hivi Inajitokeza kusema inawalipia mashabiki wa yanga kwenda South Africa Je simba sc wanaoenda misri mashabiki vipi haiitaji mashabiki??
Imeshindwa kuboresha huduma za Umeme , Serikali iliyotangaza Elimu Bure ya uongo hadi leo Walimu wa Tz wanadai michango ya walimu wakujitolea,michango ya mlinzi wa shule.. Lakini serikali inayowalipia pesa watu waende kwenye starehe zao huko South hadi leo imeshindwa kuboresha na kushusha bei za Nauli za mabasi yaani nauli ya Dar Es Salaam Morogoro Kama nchi zingine unaweza kwenda umbali wa km zaid ya elfu 1
Halafu linatokea Dude na Kitambi chake linasema Mama anaupiga mwingi[emoji23][emoji119]
Yaani ukipita kariakoo makundi maalumu ya wanaomba msaada kwa wapita njia, huwa najiuliza hivi serikali imeshindwa kuwasadia hawa watu au hawastahili kupata misaada?
Hawa watu hata kwa mwezi ukawapa laki ya kula ni thawabu kuliko kuwalipia nauli na kuwapa pesa ya kujikimu hawa watu wanayoipa hasara serikali mara kwa mara kwa kuvunja mageti pale Taifa.
Haya ni matumizi mabaya ya Pesa za wananchi ,kumbukeni hizi ni kodi na wananchi wa Tanzania[emoji24]
Mngetumia pesa kutangaza utalii kama anavyofanya nchi za Jirani mfano Kagame pengine mgeongeza Utalii na kupata pesa nyingi za kigeni,kuliko kuwapa pesa watu wakatumie kwenye starehe South Africa baadae serikali inakuja kutangaza Deni la Taifa limepanda Hadi Tilioni 100.
Uchumi wa Nchi upo Stagnant kwasababu ya mambo kama hayo.yaani kodi za wananchi wanalipiwa naurl na pesa ya kujikimu mashabiki wa Yanga kwenda hadi South.Yaani wakifika Zambia wanashuka wanakula pesa ya serikali,wakifika Zimbabwe wanashuka wanakula wanakula pesa ya Serikali bila kusahau na kunywa [emoji23][emoji119][emoji119]
Aya kwakuwa basi acha tunaseme mama anaupiga mwingi Si ndiyo mnataka tusifie ,basi mama anaupiga mwingi[emoji119]
Okay Good evining [emoji274] Tanzania.
Mungu atusaidie sana soka la Tanzania lisiendelee kuwepo Kwenye Siasa.
Pia soma: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF
Serikali hii inapesa za kulipia mashabiki pamoja na kuwapa pesa ya kujikimu huko South Africa, lakini mbona SIMBA SC walishawahi Kwenda South lakini hakuna mtu aliyejitokeza kuwalipia mashabiki kwenda huko??? Au tuseme yanga ndio imetawaliwa na serikali peke yake?
Hii serikali yetu pendwa Kama haijui Imeenda kutengeneza Tabaka la hatari sana katika wapenda soka nchini TANZANIA.
Je, Waliisubiria Yanga iwe robo ndio iaze kusaport? Kama ni hivyo iweje sasa hivi Inajitokeza kusema inawalipia mashabiki wa yanga kwenda South Africa Je simba sc wanaoenda misri mashabiki vipi haiitaji mashabiki??
Imeshindwa kuboresha huduma za Umeme , Serikali iliyotangaza Elimu Bure ya uongo hadi leo Walimu wa Tz wanadai michango ya walimu wakujitolea,michango ya mlinzi wa shule.. Lakini serikali inayowalipia pesa watu waende kwenye starehe zao huko South hadi leo imeshindwa kuboresha na kushusha bei za Nauli za mabasi yaani nauli ya Dar Es Salaam Morogoro Kama nchi zingine unaweza kwenda umbali wa km zaid ya elfu 1
Halafu linatokea Dude na Kitambi chake linasema Mama anaupiga mwingi[emoji23][emoji119]
Yaani ukipita kariakoo makundi maalumu ya wanaomba msaada kwa wapita njia, huwa najiuliza hivi serikali imeshindwa kuwasadia hawa watu au hawastahili kupata misaada?
Hawa watu hata kwa mwezi ukawapa laki ya kula ni thawabu kuliko kuwalipia nauli na kuwapa pesa ya kujikimu hawa watu wanayoipa hasara serikali mara kwa mara kwa kuvunja mageti pale Taifa.
Haya ni matumizi mabaya ya Pesa za wananchi ,kumbukeni hizi ni kodi na wananchi wa Tanzania[emoji24]
Mngetumia pesa kutangaza utalii kama anavyofanya nchi za Jirani mfano Kagame pengine mgeongeza Utalii na kupata pesa nyingi za kigeni,kuliko kuwapa pesa watu wakatumie kwenye starehe South Africa baadae serikali inakuja kutangaza Deni la Taifa limepanda Hadi Tilioni 100.
Uchumi wa Nchi upo Stagnant kwasababu ya mambo kama hayo.yaani kodi za wananchi wanalipiwa naurl na pesa ya kujikimu mashabiki wa Yanga kwenda hadi South.Yaani wakifika Zambia wanashuka wanakula pesa ya serikali,wakifika Zimbabwe wanashuka wanakula wanakula pesa ya Serikali bila kusahau na kunywa [emoji23][emoji119][emoji119]
Aya kwakuwa basi acha tunaseme mama anaupiga mwingi Si ndiyo mnataka tusifie ,basi mama anaupiga mwingi[emoji119]
Okay Good evining [emoji274] Tanzania.
Mungu atusaidie sana soka la Tanzania lisiendelee kuwepo Kwenye Siasa.
Pia soma: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF