Investment unaofanya sehemu inayolipa boss.
[emoji843] Moja wapo ya kazi ya serikali ni kuwaletea wananchi wake furaha.
[emoji843] Hii ni principle halali kabisa iliyotungwa na MWANA Philadelphia JEREMY BENTHAM katika principle yake ya UTILITARIANISM.
[emoji843]Alisema " jambo lolote linaloleta furaha liungwe mkono na liendelezwe na jambo linaloleta huzuni lifutiliwe mbali.
[emoji843] Ukifuatlilia wiki nzima ya mechi ya YANGA nchi nzima ilikuwa na furaha, kile kitendo Cha watu kusafiri kutoka Kila Kona ya Tanzania na nje ya nchi kilileta maximum pleasure kwa wananchi na serikali ilifikia malengo yake. Utaona kuwa japo kuwa walivunja mageti lakini hakuna kilichotokea kwa sababu walikuwa wanaofuata furaha ilipo. Hapo serikali iliona kama mtoto kafurahi na kuvunja chupa kwa bahati mbaya. Mama atanunua nyingine
[emoji843]. Sasa Simba inaleta huzuni, kwa mashabiki na wananchi serikali itawasapoti kweli? Sasa timu inachafua Hali ya hewa Kila wakati halafu inalialia kuomba usafiri wa ndege wakati wazee wa UTILITY wanasafiri kwa mabasi?