Hujui nguvu ya mbususu wewe au utakuwa Una matatizo ya kikojoleo.Mwwnamke akija kwako mkawa wawili hizo nguvu ya kukataa kuchakata unaitoa wapi?
Juzi Tu hapo natoka zangu mishe narudi home sin hili wala lile nafika nyumbani Ile nataka nifungue geti nasikia mdada ananiambia waaooooh nikageuka kumbe mke wa mshikaji wangu nyumba ya pili na bonge la slay queen,bonge la demu unaambiwa!!
Nikamwambia mambo akajibu poa,nilitaka nikuwaoo Ila kumbe ndani sijavaa sidiria,maziwa yatakuchoma ukapata nyege.Si ndy nikaangalia vizuri kifuani!! Lahaulaa..mtoto amevaa shati la bwanake alafu vifungo viwili vya juu hajafunga ziwa hili hapa unaliona,jeupee limetuna km embe dodo inayokaribia kukomaa kokwa
Muda huo huo akili ikahama nikaweka mikono mfukoni kumshika shingo jogoo asiwike asije kuniaibisha getini
Nikamwambia mambo vp jamaa yupo wapi,nikajibiwa hayupo tangu asubuhi,nikamwambia karibu ndani,akajibu kuna nini kwako cha kunikaribisha satoh,nikamjibu ndani kuna juice Tu ya parachichi na embe mixer..hiyo tunaongea hayo yote huku tunatembea,tukawa tumeshafika home mlangoni
Nikafungua ghetto nikavaa vest nikamwambia karibu juice,akaingia ndani akakaa kwenye sofa Mimi nipo bize kueka vitu Sawa
Nikawasha TV bibie huku anakunyea zake juice Mimi wala sina mawazo yoyote mabaya kichwani,akaniambia weka azam two niangalie marudio ya kessari,mpaka hapo sina wazo lolote Baya kichwani,nikamwekea na Mimi nikakaa niangalie kumsapoti maana siangaliagi hiyo tamthiliya imekaa kitoto Sana
Hapa ndy mambo yakaanza,maswali ya hovyo na mitego
Sasa akawa haniiti shemeji ananiita jina langu moja Kwa moja..satoh sasa unaishi vp hapa bila mwanamke Una nyumba nzuri( ingawa si yangu nimepanga Ila ni nyumba Kali kweli ambayo hata ukiwa na demu mpya ukimleta hapo atapafurahia)..nikamjibu atakuja tu siku moja utamwona,akauliza kumbe unae eeh,hapo anauliza huku ameshachanua mapaja na amevaa taiti..muda huo ndy akili ikawa imeshaanza kuhama sasa,maana kitumbua hiki hapa kimevimba hatari,niliaga naenda kununua ndizi ndy nikaishia huko nikampigia simu funguo aweke sehemu Fulani Ila alimaind sn maana alinambia nimemkimbia au nimemwona yeye Malaya sn..so jamaangu usiombe mwanamke akuamulie kukutega,kuruka inahitaji uwe na roho mtakatikfu au neema ya bwana ikushukie
Sikula mzigo Ila ananisumbua na meseji za hovyo sn Hadi Leo na ni mke wa mshikaji wangu,zile Stori za kuniita mume mume mbele ya mumewe na jamaa anachukua poa kumbe bibie anamaanisha kweli...kuna wahuni hawatapenda Stori ilivyoishia [emoji28][emoji28]..imeisha vby km ya bongo muvi
Mleta mada Mimi sikulaumu hata kidogo,kukaa na mwanamke ndani na siyo mamaako au dadaako na usifanye chochote Kwa mwanaume inakuwa kitu kigumu japo inawezekana ukiwa na msimamo..