QUALIFIED BIOLOGY TEACHER
Member
- Oct 27, 2024
- 33
- 277
Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓