Ile rule iko pale pale... hatuwezi kuififisha kizembe.hapa sasa nmekuelwa ila naona kama ile rule namba 3 inafifia vile
NAONA BAN INAKUKARIBIA
duh ukisikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanamke mwenzie ujue hlo jambo limegiusa moyo wake
NAONA BAN INAKUKARIBIA
umeomba mwenyewe picha yangu leo hii unakuja kunianika jukwaan nmekukosea nin wewe binti?
hata kama nmevunja kabati kwann uje unianike huku jukwaanNimeipenda upo umetokelezea bomba mzee
hata kama nmevunja kabati kwann uje unianike huku jukwaan
jiandae kwa maswali tuSana wanakera wanawake wa namna hii,wanadumaza watoto hadi huruma. Kuna mmoja nilimshuhudia guest moja(SITAKI MASWALI) huko alikua na shost ake wakaingia gest na mtoto,mwenye mtoto akaingia chumban na linjemba(shosti akabaki na mtoto kwenye benchi,)baada ya saa fulan hivi wakatoka njemba inafuta jasho,bidada akambeba mwanae na kusepa.
jiandae kwa maswali tu
hayo yote yanatokea mpaka mtu katoka ndan wewe umekaa tu unawaangalia
"Kwan unauza nin dada huntakii mema"
ukisema neno kuhonga embu muulize geniveros vizur atakwambia
huyo hana maneno meng kama wewe amepewa vitu vizur na vitamu sanaaaaNauza maelekezo muhimubya utafiti wenu
Ulimhonga nn? Mbona sijawah ona anakusifia hata mara moja. Acha ubahili honga vikubwa vikubwa mfano kidokezo cha waraka.
au unataka niseme nilichoona hapa, si ulisema siafu kaingia unaogopa nkusaidie kumtoaHahahahaa ila ulisingizia umepofuka kwa ulichoona kumbe bado mzima ee
Aiseee bon wala hakuona kitu zaidi ya bukta ya jeans