...Hii hii Darisalama hii, ama umeona vibaya Mkuu ??? [emoji45][emoji45]Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
shetani wap hulka za watu hizo kwan adam na eva walipokuwa wakitembea uchi alikuwa shetan mnaacha tushangilie tunalud kama mwanzo bustan ya eden mnakaa kuwaza shetan??Sishangai hata kidogo kama tu mchana kweupe wanawake wanacheza hadi kubaki tupu,sembuse kwenye kuta za club. Shetan mwenyewe alipo anashangaa jinsi mambo yanavyoenda
Mwambie bwakubwaku ze chalamilanskyJamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
ebu tuoneJamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Shetani haangaiki na wazinziShetani Yuko kazini.
WeeeeeeKama anamsambwanda tunamuiba jumla ukaoe tena
Umekosea pia,amri ya 7 ni usiibe. Amri ya 6 ndio sahihi kwamba usizini.Kwa mujibu wa maandiko matakatifu (Biblia) Usizini ni amri ya 7 sio ya 6.
Umemwambia Chalamila!? Yeye anasemaje!!?Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Uliambiwa uende hili halituhusu chiefJamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Karibu mjini na bado hujaona.Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.