Hili jiji ni balaa

Hili jiji ni balaa

Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Wmaekuja lini mjini mbona sio habari hiyo sio daa pekee karibu kila mkoa kuna sehemu za hivyo…! Tembea uone
 
Back
Top Bottom