Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Jamani majina ya kibantu ni hazina.
Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani peni yake imeisha wino,.atarudi tena..Uzi Tayari?
NimerudiNadhani peni yake imeisha wino,.atarudi tena..
Jamani kama mpo njooni na ufafanuziNaomba kufahamu kama kuna mtaalamu yoyote wa majina yetu ya kibantu atueleze kwa kina asili ya hili jina Kesho Mshahara kwa kweli mimi mwenyewe nimevutiwa nalo sana na pia limeniacha na changamoto kadhaa ikiwemo kujua Baba Askofu ana asili ya wapi na nini hasa maana ya yeye kuitwa jina hilo naomba kuwasilisha
Jamani majina ya kibantu ni hazina.
Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
SijakuelewaHuko kenya nako niliwahi sikia kuna sehemu inaitwa mb**kum**ni eti ni kweli
Jamani majina ya kibantu ni hazina.
Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
Hilo jina halipishani sana na yule mchezaji wa Chelsea though ni la kingereza lakini huwa linanichekesha sana "Dan Drink water"Jamani majina ya kibantu ni hazina.
Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
Watu wanaweza kudhani hili jina ni la utani, lakini huyu jamaa Kukutia Ole Pumbuni alikua maarufu kwenye medani za kimahakama kwa sababu kesi yake sina hakika kama ni ya jinai au madai ilikua ni reference kwenye kesi zingineKukutia ole pumbuni.
Dah!John Kinyesi,nilisoma nae primary school
Kukutia ole pumbuni.