hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha
Askofu Aberdnego Keshomshahara ni Mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi-Kagera
Keshomshahara ni jina la baba yake asiri Muhaya jina ilo alilipata kutokana na kazi zake ambapo alikuwa karani wa chama cha msingi wakinunua kahawa uyu kwasababu hakukuwa na mifumo ya kibenki fedha zilisafilishwa kwenye viroba yeye anazipokea anazihizadhi kwenye sefu alafu anatoka ofsini anazunguka na baiskeli na kuwatangazia wanakijiji kuwa kesho yake kuna mishahara "kesho mshahara, kesho mshahara"basi jina likamkaa vizuri mpaka alipostaafu aliitwa jina hilo.
Kwa msaada wa makamu wa Askofu.