Hili jina limenifurahisha sana

Hili jina limenifurahisha sana

Hahaha
Askofu Aberdnego Keshomshahara ni Mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi-Kagera
Keshomshahara ni jina la baba yake asiri Muhaya jina ilo alilipata kutokana na kazi zake ambapo alikuwa karani wa chama cha msingi wakinunua kahawa uyu kwasababu hakukuwa na mifumo ya kibenki fedha zilisafilishwa kwenye viroba yeye anazipokea anazihizadhi kwenye sefu alafu anatoka ofsini anazunguka na baiskeli na kuwatangazia wanakijiji kuwa kesho yake kuna mishahara "kesho mshahara, kesho mshahara"basi jina likamkaa vizuri mpaka alipostaafu aliitwa jina hilo.
Kwa msaada wa makamu wa Askofu.
 
Nyuma sanane, Maisha ng'ombengeni nilisoma nao O-level.
 
Askofu Aberdnego Keshomshahara ni Mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi-Kagera
Keshomshahara ni jina la baba yake asiri Muhaya jina ilo alilipata kutokana na kazi zake ambapo alikuwa karani wa chama cha msingi wakinunua kahawa uyu kwasababu hakukuwa na mifumo ya kibenki fedha zilisafilishwa kwenye viroba yeye anazipokea anazihizadhi kwenye sefu alafu anatoka ofsini anazunguka na baiskeli na kuwatangazia wanakijiji kuwa kesho yake kuna mishahara "kesho mshahara, kesho mshahara"basi jina likamkaa vizuri mpaka alipostaafu aliitwa jina hilo.
Kwa msaada wa makamu wa Askofu.
Ahsante!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]dah
Watu wanaweza kudhani hili jina ni la utani, lakini huyu jamaa Kukutia Ole Pumbuni alikua maarufu kwenye medani za kimahakama kwa sababu kesi yake sina hakika kama ni ya jinai au madai ilikua ni reference kwenye kesi zingine
 
Kwenye harakati za kutafuta mishe mjini, nlikutana na jamaa anaitwa TUKUTANE JUMANNE. Sikuelewa mapema mpaka aliponielewesha ni jina kama majina mengine.
 
Kuna majina kuyatamka yapasa uwe umeshiba na hauna pombe kichwani
 
Back
Top Bottom