Askofu Aberdnego Keshomshahara ni Mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi-Kagera
Keshomshahara ni jina la baba yake asiri Muhaya jina ilo alilipata kutokana na kazi zake ambapo alikuwa karani wa chama cha msingi wakinunua kahawa uyu kwasababu hakukuwa na mifumo ya kibenki fedha zilisafilishwa kwenye viroba yeye anazipokea anazihizadhi kwenye sefu alafu anatoka ofsini anazunguka na baiskeli na kuwatangazia wanakijiji kuwa kesho yake kuna mishahara "kesho mshahara, kesho mshahara"basi jina likamkaa vizuri mpaka alipostaafu aliitwa jina hilo.
Kwa msaada wa makamu wa Askofu.
Kukutia Ole Pumbuni ni jina halisi. Huyu jamaa alikua na kesi flani iliyokua maarufu sana miaka ya 80sHahahahaha
AiseKukutia Ole Pumbuni ni jina halisi. Huyu jamaa alikua na kesi flani iliyokua maarufu sana miaka ya 80s
Ahsante!Askofu Aberdnego Keshomshahara ni Mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi-Kagera
Keshomshahara ni jina la baba yake asiri Muhaya jina ilo alilipata kutokana na kazi zake ambapo alikuwa karani wa chama cha msingi wakinunua kahawa uyu kwasababu hakukuwa na mifumo ya kibenki fedha zilisafilishwa kwenye viroba yeye anazipokea anazihizadhi kwenye sefu alafu anatoka ofsini anazunguka na baiskeli na kuwatangazia wanakijiji kuwa kesho yake kuna mishahara "kesho mshahara, kesho mshahara"basi jina likamkaa vizuri mpaka alipostaafu aliitwa jina hilo.
Kwa msaada wa makamu wa Askofu.
Watu wanaweza kudhani hili jina ni la utani, lakini huyu jamaa Kukutia Ole Pumbuni alikua maarufu kwenye medani za kimahakama kwa sababu kesi yake sina hakika kama ni ya jinai au madai ilikua ni reference kwenye kesi zingine
JIna la kibantu kabisa hili Raynavero eeh🤣?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]dah