Hili jina utopolo fc sijui upotolo fc mnatukera sana!

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa

Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
 
Mimi naipenda Yanga, hata jina la Utopolo nalipenda, linatuhamasisha kufanya vizuri zaidi
 
Jina hilo litafutika mkianza kuwa proffessional.Sasa hivi mambo mnayofanya ndiyo yanapekekea jina hilo liwaenee vizuri.

Mfano mmefungwa mnaanza kuwalaumu wachezaji wenu wamehongwa.Huu ni ujinga sana.
Kipindi kile mliwaahidi milioni kumi kila mmoja,safari hii mliwaahidi nini?
Mtoto umleavyo,ndivyo akuavyo.
 
Utopolo the green and yellow
 
Poapoa UTOPOLO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…