SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Iharibiwe mara ngapi? Sasa hivi Utopolo ndiyo mpango mzima. Au kati ya majina haya lipi lina nafuu:-Kandambili,yeboyebo, gongowazi,kwasukwasu na Bakuli FC?Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!