Hili jina utopolo fc sijui upotolo fc mnatukera sana!

Hili jina utopolo fc sijui upotolo fc mnatukera sana!

Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa

Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Iharibiwe mara ngapi? Sasa hivi Utopolo ndiyo mpango mzima. Au kati ya majina haya lipi lina nafuu:-Kandambili,yeboyebo, gongowazi,kwasukwasu na Bakuli FC?
 
Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa

Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Utopolo FC[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa

Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Unge ambatanisha kavideo kidogo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo LA watanzania ukikasirika katka utani ujue umekwisha na hilo jina unazidi kulikuza [emoji23][emoji23]
 
Jina lnaendana na timu yenyewe bfs sababu ya kumlaum hyo jamaa alieleta ilo jna
 
Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa

Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Utopolo fc
 
Back
Top Bottom