SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Iharibiwe mara ngapi? Sasa hivi Utopolo ndiyo mpango mzima. Au kati ya majina haya lipi lina nafuu:-Kandambili,yeboyebo, gongowazi,kwasukwasu na Bakuli FC?Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Utopolo FC[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Litakuwa limetobolewa kutoka kwenye neno kutopoloa
Hivi neno utopolo asili yake ni wapi?
Unge ambatanisha kavideo kidogoYule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Hakuna klabu iliyosajiliwa hivyo. Hilo neno Yanga hapo linathibitisha wewe ni utopolo.DAR ES SALAAM YANGA AFRICAN SPORTS CLUB
Wewe mwenyewe umeandika dar yanga African mara tena dar young African, wewe ni utopolo haswa.usajili wa yanga upo kwa jina la Dar Young African Sports Club
Ongezea na wewe mkuu wangu......umetumwa mkuu!
Utopolo fcYule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Utopolo ktk ubora wako.Mimi naipenda Yanga, hata jina la Utopolo nalipenda, linatuhamasisha kufanya vizuri zaidi