BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
khaaaaaa!!! miezi 6!!!Unafikiri mke akiwa mjamzito mshahara huwa automatically unaongezeka wapi. Na mama mkubwa wa mke wako ndiye anaejua kumhudumia mzazi. Anaishi na nyinyi kwa miezi sita akimfundisha wife ulezi.
Usinikumbushe nilivyopokea vipande kwenye huu uzikwa nini unaajiri mdada kama una chumba na sebule tu?????? najiuliza tu
Njoo nikupangishe hukuHuku kwetu mfereji wa maji ya bafuni unapita dirishani, kufungua milango na madirisha kuna leta kero ya nzi na harufu.
Hatuna nyumba Bali stop , hebu fikiri chumba kimoja unaweka mpaka majaba ya maji si mi stop hiyo!Dada na watoto wanalala sebuleni, ukiwa unaliwa usiku wanasikia makelele yote. Sebule linanukilia ugali na dagaa kutwa nzima. Maisha ya bongo shida sana.
Pole Sana!!Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine.
Unaishi kwenye chumba na sebule. Sebule usiku ni chumba cha dada cha kulala na mchana ni sitting room, dining na jiko. Hapa una wageni na nyumba haina ceiling board. Lile jua la saa saba-nane mchana ni kama mko kwenye tanuri.
Ahaah, hayo maisha Kama ya jela aisee, vyoo havina milango watu wanashusha mizigo,kwa pembeni Wengine wamekaa wanakula,Wengine wanasokota bange!Huku kwetu mfereji wa maji ya bafuni unapita dirishani, kufungua milango na madirisha kuna leta kero ya nzi na harufu.
kwa nini unaajiri mdada kama una chumba na sebule tu?????? najiuliza tu
Hama tafuta Nyumba yenye ceiling board kwani unakaa bureSiku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine.
Unaishi kwenye chumba na sebule. Sebule usiku ni chumba cha dada cha kulala na mchana ni sitting room, dining na jiko. Hapa una wageni na nyumba haina ceiling board. Lile jua la saa saba-nane mchana ni kama mko kwenye tanuri.
Huo umeme na hizi tozo atamudu!?Jichange ununue AC joto utalisikia kwenye tv tu