MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Kipindi cha nyuma kulikuwaga na mijadala migumu sana humu,
Kulikuwa na hamasa sana, watu nakumbuka walikuwa hadi wanakutana kwa Chai day na wana discus Biashara hasa kilimo,
Idea ya Jamii Saccos ilianzishwa na wadau wa humu na Saccos ikaanzishwa,Wadau humu nakumbuka wakina Chasa, Liverpool, Madinimadini na wengineo wali fanya hadi mkutano mkubwa pale Rombo green view hotel.
Kulikuwa na wadau kama Malila, sijui wako wapi siku hizi wanachungulia tu na kusepa.
Jukwaa limevamiwa na watoto, limevamiwa na watu ambao humu ni sehemu ya kujipumzisha, humu huja kana kwamba wamepotea njia.
Jukwaa halina kash kash kama za enzi zile ambapo kulijjwa na mijadala migumu sana na pia watu walikuwa wanakutana kufanya mikutano na pia watu walilima pamoja,
Ile nguvu sidhanii kama itarudigi make now day wengi wanao ingia humu kuchangia na kupost utaona kabisa uwezo wao ni mdogo sana na wengi wanakuja kupumzika tu,
Nawakumbuka sana watu kama Malila, ELININO na wengineo Watu kama Liverpol watu kama chasa
Humu lazima watu wabadilike watu wawe kweli na nia.
Kulikuwa na hamasa sana, watu nakumbuka walikuwa hadi wanakutana kwa Chai day na wana discus Biashara hasa kilimo,
Idea ya Jamii Saccos ilianzishwa na wadau wa humu na Saccos ikaanzishwa,Wadau humu nakumbuka wakina Chasa, Liverpool, Madinimadini na wengineo wali fanya hadi mkutano mkubwa pale Rombo green view hotel.
Kulikuwa na wadau kama Malila, sijui wako wapi siku hizi wanachungulia tu na kusepa.
Jukwaa limevamiwa na watoto, limevamiwa na watu ambao humu ni sehemu ya kujipumzisha, humu huja kana kwamba wamepotea njia.
Jukwaa halina kash kash kama za enzi zile ambapo kulijjwa na mijadala migumu sana na pia watu walikuwa wanakutana kufanya mikutano na pia watu walilima pamoja,
Ile nguvu sidhanii kama itarudigi make now day wengi wanao ingia humu kuchangia na kupost utaona kabisa uwezo wao ni mdogo sana na wengi wanakuja kupumzika tu,
Nawakumbuka sana watu kama Malila, ELININO na wengineo Watu kama Liverpol watu kama chasa
Humu lazima watu wabadilike watu wawe kweli na nia.