OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa ufupi sana
Humu jukwaani kuna mchanganyiko wa matukio. Kuna matukio ya aibu,ya kutendwa na stori nzuri za kuhamasisha.
Shida inakuja kwenye matukio mabaya ima ya aibu au ya kutendwa. Wadau wengi wakiandika matukio haya hujifanya kama ni tukio lisilomuhusu,yaani limemtokea jamaa yake au mtu mwingine. Unaleta stori ya kugongewa halafu unatuambia "Jamaa yangu amegongewa mke"
Mabro Big boys tunawasoma tu, tunawachora mnavyoficha isijulikane kama yamekukuta mzee mwenzangu.
Hili Jukwaa ni letu,let us be open and speak out
Humu jukwaani kuna mchanganyiko wa matukio. Kuna matukio ya aibu,ya kutendwa na stori nzuri za kuhamasisha.
Shida inakuja kwenye matukio mabaya ima ya aibu au ya kutendwa. Wadau wengi wakiandika matukio haya hujifanya kama ni tukio lisilomuhusu,yaani limemtokea jamaa yake au mtu mwingine. Unaleta stori ya kugongewa halafu unatuambia "Jamaa yangu amegongewa mke"
Mabro Big boys tunawasoma tu, tunawachora mnavyoficha isijulikane kama yamekukuta mzee mwenzangu.
Hili Jukwaa ni letu,let us be open and speak out