OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
π€£π€£ halafu ukiwa Jukwaa la Siasa nakusoma nikijua daah huyu jamaa aligongewa mke π€£π€£Sasa unataka niseme mm rass jeff nimegongewa mke!!! hadhara ya humu itaniona fala lazima nitafute namna ya kuchomekea jambo langu!
Noma sana yaani tubishane kwenye siasa huku ukijua niligongewa mke!! utaona hata hoja zangu hazina mashiko.π€£π€£ halafu ukiwa Jukwaa la Siasa nakusoma nikijua daah huyu jamaa aligongewa mke π€£π€£
πππ duh!Kwa sababu hamna busara, siku nyingine uko jukwaa la ujasiriamali huko mtu anakuuliza mkuu vipi ulipona kaswende? Mambo ya kifa.la hayo
HakuaminiNina girlfriend wangu tunapendana sana, ila sasa tuko mikoa tofauti kwa sababu furani furani sasa huwa nikiongea nae anakuwa kama vile ananiuliza vipi mwenzangu hajambo, nikimwambia hayupo, bas anasema ata akiwepo awepo tu ila anacho dai nisimuumize tu, yan huwa inanikata sana iyo kauli, alafu si mara moja. Ina maana gani hii wakuu
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Hapa ndo pabaya...ingewezkana ukala mchongo na modz wakatoa uzi za nyuama amabazo ulijimwambafi atleast kungekuwa na unafuuYaani wewe jamaa unataka tuchume wenyewe fimbo za kuchapiwa humu jukwaani.
Huku ukizingua kidogo tu wadau wanaenda kufukua uzi au comment yako hata kama ni ya mwaka 47 huko.
damnKwa sababu hamna busara, siku nyingine uko jukwaa la ujasiriamali huko mtu anakuuliza mkuu vipi ulipona kaswende? Mambo ya kifa.la hayo