General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Kuoneshwa kwa Kombe la Dunia na kufuatiliwa kwa karibu na watu wote imesababisha kupunguza ladha kwa soka letu la kivyetu vyetu.
Mood tuliyo nayo kwa walio wengi sio tena kwa Chama wala Azizi K bali ni kwa Mess na Mbape.
Imefanya tuonekane kama watoto tunao cheza matopeni. Yaani kila kitu kimeharibiwa mood na kombe la Dunia.
Umaskini wetu unatukosesha ladha nyingi sana Ulimwenguni.
Na mwisho wa siku wote tuna chomwa moto pamoja na Wazungu lihali wao hapa Duniani wao wameponda raha kuliko sisi blacks.
Mood tuliyo nayo kwa walio wengi sio tena kwa Chama wala Azizi K bali ni kwa Mess na Mbape.
Imefanya tuonekane kama watoto tunao cheza matopeni. Yaani kila kitu kimeharibiwa mood na kombe la Dunia.
Umaskini wetu unatukosesha ladha nyingi sana Ulimwenguni.
Na mwisho wa siku wote tuna chomwa moto pamoja na Wazungu lihali wao hapa Duniani wao wameponda raha kuliko sisi blacks.