Hili kombe la TPL lipo Kama kinu (hovyo)

Inaonyesha Yanga waliliona wakapunguza kasi ili lisiwaangukie.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mara ya mwisho kuona kombe kama hilo, ni ule mwaka tulioshinda UMITASHUMTA [emoji1787]
 
[emoji16]
 
Simba shida hata haikuwa hilo kombe hata kama lingetengenezwa kwa almasi, shida yetu ni KUWA MABINGWA TENA KWA KUWAPIGA MABAO Vyura FC!


Nyie Omba omba FC mkilihitaji mje tuwapeni ili mridhike sasa!!!
 
Simba shida hata haikuwa hilo kombe hata kama lingetengenezwa kwa almasi, shida yetu ni KUWA MABINGWA TENA KWA KUWAPIGA MABAO Vyura FC!


Nyie Omba omba FC mkilihitaji mje tuwapeni ili mridhike sasa!!!
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…