Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Yaan hyo kususa niliopanga kuufanya mwez mzima huu..atajuta..hapa katuma msg nmekaa kimyaa...tena kanipa sababu aisee..nahis kama amenisaidia aisee..yaan hata kuja ona hela yangu
huo ndo uamuzi wa kiume. Funga koki askie kiu mpaka koo likauke.

uspomfundisha adabu katika hilo kosa alilotenda atakuona mdhaifu.
 
Nna hasira vibaya mno..hapa nilitaka toka kidogo nikanunue tuvitu fulan sasa sina hata mia..
We huna hasira. Ungekuwa na hasira ungeshachukua maamuzi magumu, huu uzi tusingeuona hapa...

Infact wewe unapaswa kuwa mchungaji mkuu mwandamizi na msaidizi wa mhashamu askofu mkuu...
 
Chai kabisa hii, yaani et ma kuku hayakauki na mfukoni una laki mbili na bado unalalamika et maisha magumu, chai ya baridi kuinywa asubuhisubuhi hivi inakera sana
 
huo ndo uamuzi wa kiume. Funga koki askie kiu mpaka koo likauke.

uspomfundisha adabu katika hilo kosa alilotenda atakuona mdhaifu.
So far mpaka sasa kashathibitisha yeye ni zaidi ya dhaifu...

Sasa kama demu anakuibia laki 2, ukimpandisha cheo kuwa mke si atakuibia korodani kabisa?
 
Achana na hiyo makitu[emoji28][emoji28]
 
Hahahahhaa...sjui kajiamin nin..hajawai hata fanya hiv...hata sku1...na nimemlilia sana kwamba hali ni mbaya. Atulie ntampa tu hyo hela..ujue wanawake hawana huruma kaka
Wewe si tajiri mkuu mtoaji, ngoja akufundishe adabu alafu ameshakutawalaa
 
kuchukua hela sio tatizo lakin kale ka kauli ka kusema "Ndio nimechukua" ni as if utanifanya nn and i dont give a https://jamii.app/JFUserGuide hilo ni tatizo mzee
and hakuna kitu nakichukia kama mtu a go through my stuffs bila ruhusa yangu ila i believe everybody deserves a second chance Embu msuspend kama mwezi hivi alaf mwangalie tabia yake atakavo act from there utajua

Peace [emoji3577]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…