Hili kuhusu mifuko ya penshen kutotoa hela hata ukiresign mpaka ukifika umri wa kustaafu limekaaje

Hili kuhusu mifuko ya penshen kutotoa hela hata ukiresign mpaka ukifika umri wa kustaafu limekaaje

rubby110

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
20
Reaction score
6
kwa niliyoyaskia ni kwamba mtu sasa uki resign kazi huwez kupewa hela yako mpaka ufikie umri wa kuresign.. je kuna sheria mpya iliotolewa kuongelea hili.. msaada
 
Nitapigana hapo NSSF siku hiyo mpaka washangae
 
Back
Top Bottom