CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Habari za weekend wadau wa Celebrit Forum.
Kuna kundi lililokuwa linaundwa na mabinti wanne, walikiwa wakiimba nyimbo za Injili kama sikosei.
Kuna wimbo waliwahi kuimbia Tanzania.. "Tanzania you are so beautiful, Tanzania you are Land of peace in World"
Nimesahau jina la kundi hili, naomba kufahamu walipo na wanafanya nini kwa sasa....
Wasalaam
CL
Kuna kundi lililokuwa linaundwa na mabinti wanne, walikiwa wakiimba nyimbo za Injili kama sikosei.
Kuna wimbo waliwahi kuimbia Tanzania.. "Tanzania you are so beautiful, Tanzania you are Land of peace in World"
Nimesahau jina la kundi hili, naomba kufahamu walipo na wanafanya nini kwa sasa....
Wasalaam
CL