mkandi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 281
- 121
Leo saa 2 usiku, redio one imetangaza kua mwanachuo wa mwaka wa 3 shahada ya uuguzi, St. Johns university, amebakwa na mwili wake umeokotwa asubuhi. Hivi karibuni, wanachuo wa IFM na J.K Nyerere waliandama kupinga vitendo vya wizi, ubakaji na ulawiti dhidi yao.
Haya yamenikumbusha takribani miezi 6 nilipokua Dodoma. Wanachuo wa off-campus, hasa wa St. Johns, CBE na UDOM walikua wakiingiliwa kwa zamu na kufanyiwa matendo hayahaya. Nilibahatika kukutana na victims kadhaa pale dodoma hosp.
Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa na polisi walitambuliwa kua ni walewale waliofanya vitendo hivyo katika chuo cha SAUT-Mwanza miezi kadhaa iliyopita, na kwamba vitendo vilipungua baada ya baadhi yao kuuawa huko.
Nilichojifunza na kujiuliza katika hili:
1)hawa jamaa wanafanya kazi kama mtandao (ndo maana dodoma walikamatwa gesti kama kundi)
2)wanapata wapi ujasiri wa kunajisi bila hata kinga, chumba kwa chumba, mwanachuo baada ya mwingine? Wana ajenda gani?
3)Je tatizo ni visasi juu ya wanachuo, zaidi ya tatizo la wizi?( so far ziibiwazo zaidi ni laptop baada ya kunajisi-kunani na hizi laptop?)
4)Je tofauti ya maisha ya jamii na wanachuo mitaani ni bomu jingine?
Ubakaji, ulawiti na wezi kwa wanachuo ni zaidi ya tatizo la kihalifu na kwangu mie; hili suala NI ZAIDI YA NILISIKIAVYO NA KULIJUA!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Haya yamenikumbusha takribani miezi 6 nilipokua Dodoma. Wanachuo wa off-campus, hasa wa St. Johns, CBE na UDOM walikua wakiingiliwa kwa zamu na kufanyiwa matendo hayahaya. Nilibahatika kukutana na victims kadhaa pale dodoma hosp.
Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa na polisi walitambuliwa kua ni walewale waliofanya vitendo hivyo katika chuo cha SAUT-Mwanza miezi kadhaa iliyopita, na kwamba vitendo vilipungua baada ya baadhi yao kuuawa huko.
Nilichojifunza na kujiuliza katika hili:
1)hawa jamaa wanafanya kazi kama mtandao (ndo maana dodoma walikamatwa gesti kama kundi)
2)wanapata wapi ujasiri wa kunajisi bila hata kinga, chumba kwa chumba, mwanachuo baada ya mwingine? Wana ajenda gani?
3)Je tatizo ni visasi juu ya wanachuo, zaidi ya tatizo la wizi?( so far ziibiwazo zaidi ni laptop baada ya kunajisi-kunani na hizi laptop?)
4)Je tofauti ya maisha ya jamii na wanachuo mitaani ni bomu jingine?
Ubakaji, ulawiti na wezi kwa wanachuo ni zaidi ya tatizo la kihalifu na kwangu mie; hili suala NI ZAIDI YA NILISIKIAVYO NA KULIJUA!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums