Hili la Biashara kupewa 10M kama motisha baada ya kutoa sare kuna ukweli?

Yaaa muda ni mwalimu zuri ila kama una timu ya kuongelea ila kwasababu ww hauna timu pale basi hauna haja ya kusema ujipe muda

Ww huu msimu fanya ku cancel
Sawa anacheka mwisho wa safari ndio mshindi. Majigambo yataisha muda ukiwadia, tushazoea majigambo.toka zama za zahera [emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu mwishon inalalamikiwa tff na bodi ya ligi tupo tuzidi kuomba uhai
 
Utawala wa yanga upi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa timu ipi..? Na mipango ipi..?
Sasa mnalia nini, si mkae kimya, mjue mambo yamebadilika mkiweka mguu tunaweka ugoko, atutaki visingizio vya kijinga kijinga sisi, chezeni mpira uwanjani ayo mengine ayatowasaidia chochote kwa sasa yanga imejipanga nje ya uwanja na ndani ya uwanja ile michezo yenu mliyokuwa mnafanya misimu iliyopita safari hii haina nafasi tutawasulubu kimya kimya mpaka mtaelewa tu
 
Mbona hata sisi mwaka jana tuliwapa coastal union mzigo baada ya kuifunga Yanga?
 
Hahahh aya bwana
 
Kwani timu ndogo ikipewa zawadi au motisha kwa kuifunga timu bora ya simba kuna ubaya?
 
Lkn mm naiona hii style ya kutoa motisha kwa timu yoyote inayo cheza na SIMBA ni Big ADVANTAGE kwa CLUB ya SIMBA kwani katika kila GAME SIMBA atakayo kuwa anacheza timu itakuwa na umakini wahali ya juu na kutumia akili na kuwa na 100% concentration ya kila GAME ktk msimu wote wa league ni kitu kizuri kwa SIMBA.
 
Hela za motisha Ni za GSM kuhakikisha Yanga anachukua ubingwae kuwafukuza mashabiki.

Hawa viongozi wa serikali wanaotoa hiziehela wote ni Yanga . Wanatumia tu
 
Makonda aliwapa mil 20 KMC baada ya kuifunga Yanga...........sema Magoli msahaulifu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…