Hata mimi ninatembelea tovut yao kila muda hakuna jipya,
sasa wewe unaharaka ya nin nkt hata hayo matokeo ya form 6 bado hayajatoka..? hata kama umemaliza mwaka mmoja kabla huwezi apply mpaka uweke hayo matokeo ya form 6..et ambayo wengi wao hawana mpaka sasa hivi cha msingi subiri tu usiwe na haraka...Walitangaza kupitia vyombo vya habari toka tarehe 29/04/2013 kuwa ifikapo tarehe 01/05/2013 watakuwa wamefungua kupokea maombi mapya kwa mwaka 2013/2014.Kinachoshangaza mpaka sasa tovuti yao haina chochote kinachozungumzia hili suala kwani tangazo jipya ni la tarehe 05/10/2012.Labda mimi sikuwaelewa walikuwa wanamaanisha nini hasa?.
sasa wewe unaharaka ya nin nkt hata hayo matokeo ya form 6 bado hayajatoka..? hata kama umemaliza mwaka mmoja kabla huwezi apply mpaka uweke hayo matokeo ya form 6..et ambayo wengi wao hawana mpaka sasa hivi cha msingi subiri tu usiwe na haraka...
pole sana kaka..ila usiwaze ntaku PM maujanja flani hivi kuna mwana wangu flani alitumia bodi wakamgea 100%..!!!ila sio guaranteed kwamba utapata..!!Niko chuo kk,wamenizingua 2012/2013 kwa kuninyima ata 0% na mbaya zaidi wakala na 5,000/= ya appeal achilia mbali 30,000/= ya awali na ata hayo majibu ya appeal hawakutoa na nimeishi maisha magumu sana hii first year.Ila tayari nimeshaziona hizo information OLAS na najaribu tena mkuu huwenda ikawa.