Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mmmmhhh mbona una maneno tata kwani kuna mwanadamu kazaliwa na mwanaume?🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni mwanadamu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmhhh mbona una maneno tata kwani kuna mwanadamu kazaliwa na mwanaume?🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni mwanadamu tu
Joti nae anaenda?Kitendo cha Diamond kuchagulia kutumbuiza AFCON ni cha kupongezwa sana ila hakiachi tusifanye tafakuri jadidi
- Kwamba Mtanzania amefuzu kwenda kutumbuiza huku TIMU YA TAIFA IKISHINDWA KUFUZU kucheza soka
- Kwamba kwa kuwa tumeshindwa mguuni walau tumefikiriwa mdomoni
- Kwamba huenda soka letu ni la maneno zaidi na ndio maana tunaambiwa wacha maneno weka MUZIKI
- Kwamba Waziri anakabidhi bendera ya TAIFA la Tanzania kwa Diamond kwa kuwa anakwenda KUWAKILISHA TAIFA nalo ni la kupongezwa pia maana tutapata kodi
- ...........................................................ongeza.
- Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye, akimkabidhi bendera msanii wa Bongofleva Nasib Abdul(Diamond Platnum) anayekwenda kutumbuiza katika ufunguzi wa mashindano yatakayofanyika Januari 14 nchini Gabon iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.