Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Nimemsikia mgombea urais kupitia ccm, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama chadema, act, cuf nk wafanye kama anavyo fanya Magu ?
Hujui Yeye ni Rais wa wasukuma ???.
au wasukuma sio watu??