Nimemsikia mgombea urais kupitia ccm, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama chadema, act, cuf nk wafanye kama anavyo fanya Magu ?
WAKIFANYA HIVYO WATAKATWA MARA MOJA KWA KUENDEKEZA UBAGUZI WA UKABILANimemsikia mgombea urais kupitia ccm, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama chadema, act, cuf nk wafanye kama anavyo fanya Magu ?
Wagombea wengine ni wastaarabu kwa hiyo waelewa kuwa nchi hii ina makabila 120 kila kabila na lughà yake. Rais wetu mpendwa ni Musukuma asiyejua lughà nyingine yeyote hata alipokuwa mwalimu alipangiwa afundishe hukohuko Usukumani. Hii imempa shida sana katika uteuzi wa watumishi wa Serikali ikambidi ateue na kutengua mara kwa mara akiwazungusha Wasukuma haohao kama Temi wa huko.Nimemsikia mgombea urais kupitia ccm, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama chadema, act, cuf nk wafanye kama anavyo fanya Magu ?
Huu ni upuuzi ambao umeanza kurejea kwa kasi ktk awamu hii, badala ya kwenda mbele, tunajirudisha nyuma kwa kasi.Nyani haoni kundule. Mfatilie Ezikiel Wenje mgombea wa Ubunge kupitia chadema mkoa wa mara jimbo la Rorya. Hakuna siku ametumia lugha ya Taifa adi mwisho wa kampeni. Anatumia kiluo kila sehemu yeye tumweke kundi gani?
Lisu alivyoenda singida alitumia kinyaturu mara kibao mbona hukusema?
La kutumia kisukuma liko Sawa ,lengo massage ifike barabara kwa wahusika ,kuna baadhi huwa hata kiswahili hawajuiNimemsikia mgombea urais kupitia ccm, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama chadema, act, cuf nk wafanye kama anavyo fanya Magu ?
Ubaya wa kuongea kilugha ni pale mtu anapofanya Kampeni pekee siyo?Kwani Singida ameshafanya kampeni tayari nijuavyo alianzia Dar....Arusha...Mwanza..shinyanga na leo Tabora
Ulimuuliza tundu lisu alipokuwa kwao wakati, kusaka wadhaminiNimemsikia mgombea urais kupitia CCM, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara.
Hatukuwahi kusikia Rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu.
Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF nk wafanye kama anavyofanya Magu ?
Una uwezo finyu wa kufikiri, la, una ushabiki wa kupitiliza. Katika Tanzania ya leo hakuna mahala kukuta kabila moja tu, tumechanganyikana sana. Matangazo hayo huoneshwa kwa watanzania wengi. Penye uhitaji wa ukabila ni vizuri isioneshwe live.wabongo bana kukosoa tu kila kitu... kuna shida gani kutumia kisukuma? sasa kama kautana na watu wa kwao unataka aongee kiswahili?
Umenikumbusha juzi aliwaita tenaAende pemba aone Maalim Seif akimwaga kiarabu Alhamudulilah utazikuta kibao kwenye hotuba zake
Ulimsikiliza Msaliti Lissu akitafuta wadhamini pale Ikungi?? Acha kubwabwaja!Nimemsikia mgombea urais kupitia CCM, mh Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara.
Hatukuwahi kusikia Rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu.
Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF nk wafanye kama anavyofanya Magu ?
Wewe inaonekana hujui lugha ya kwenu.Una uwezo finyu wa kufikiri, la, una ushabiki wa kupitiliza. Katika Tanzania ya leo hakuna mahala kukuta kabila moja tu, tumechanganyikana sana. Matangazo hayo huoneshwa kwa watanzania wengi. Penye uhitaji wa ukabila ni vizuri isioneshwe live.