Hili la Former NBC Premier League MVP Bangala kwenda Azam FC tunamuomba Rais wa Yanga SC atuachie Yanga SC yetu

Hili la Former NBC Premier League MVP Bangala kwenda Azam FC tunamuomba Rais wa Yanga SC atuachie Yanga SC yetu

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoachia ngazi Yanga SC yetu tunamroga ili nae ahamie huko Azam FC au kwa Simba SC alikowauzia Bernard Morrison aliyetutia sana Hasara Yanga SC katika Kesi yake.

Injinia Hersi Said tuachie Timu yetu.
Weka sababu zenye mashimo sio nadharia na mihemko
 
Jazia minofu kidogo unaweza kuwa na hoja ya msingi tusikupuuzd!
 
Kaka yangu Popoma uliyetukuka 🤗🤗🤗 Eng hatoki leo wala kesho, tunajua mnajua akiwepo ubingwa, mnausikia Jangwani tu.
Eng kazia hapohapo 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Unaonaje nikikuoa kwamra ya Pili?
 
Eng Hersi Bado yupo sana Yanga na mwaka huu anabeba kombe la NBC la tatu! Haya majungu sidhani kama yatafika popote!
 
Bangala alikuwa anaanza benchi kiwango kilishuka mno
Ameuzwa ni biashara nzuri tungepata haaara kama tungemvunjia mkataba
Hongera yanga
 
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoachia ngazi Yanga SC yetu tunamroga ili nae ahamie huko Azam FC au kwa Simba SC alikowauzia Bernard Morrison aliyetutia sana Hasara Yanga SC katika Kesi yake.

Injinia Hersi Said tuachie Timu yetu.
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoachia ngazi Yanga SC yetu tunamroga ili nae ahamie huko Azam FC au kwa Simba SC alikowauzia Bernard Morrison aliyetutia sana Hasara Yanga SC katika Kesi yake.

Injinia Hersi Said tuachie Timu yetu.
Umeanza lini kushabikia yanga SC??
 
Njia rahis ya yanga kubomoka sio kuondokewa na key players bali ni kuondoka kwa anaewaleta hao wachezaji Eng Hersi & Ally Mayay.
 
Back
Top Bottom