Hili la Haji Manara kushangaa Meneja wa mchezaji kutojua English ni UTUMWA wa kifikra

Hili la Haji Manara kushangaa Meneja wa mchezaji kutojua English ni UTUMWA wa kifikra

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na katika press hiyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, Haji alihoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English.

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kuthamini lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaji wakubwa na sio wote hujua English kiufasaha.
 
Kwa kweli lugha ya kwanza na muhimu ni ya nyumbani kwanza hata Europe nchi nyingi wanatumia zaidi lugha zao mfano Germany, Denmark, Finland nk
 
Kwa kweli lugha ya kwanza na muhimu ni ya nyumbani kwanza hata europe nchi nyingi wanatumia zaidi lugha zao mfano germany,denmark,finland nk
Kabisa mkuu hata Holland, Belgium kuna sehemu wana ongea French tu yaani hata ile bring me water majamaa haya elewi
 
Tatizo la Waandishi wa habari wa Tanzania kutwa wanapoporwa na Haji ila kila siku wanampa platform katika media zao.
 
Mwambie Manara aweke clip yake akiongea kimombo, sio unatukana watu wakati mwenyewe huna lolote
 
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na ktk press iyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, haji ali hoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kusamin lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaj wakubwa na sio wote hujua english kiufasaha
Sijafurahishwa na kebehi za Haji ila hata hivyo kuwa meneja wa mchezaji mwenye ndoto za kucheza timu kubwa ndani na nje ya nchi halafu Meneja hujui Kingereza basi hilo tatizo.
 
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na ktk press iyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, haji ali hoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kusamin lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaj wakubwa na sio wote hujua english kiufasaha
Sasa kama wakala hajui kiingereza atamuuzaje mchezaji wake?
 
Wakala lazima ajue kingereza maana zile fomu ziko kwa lugha hiyo, pia kuna maswali ya kujibu kwa kingereza,

Wakala anatambulika na fifa na TFF tena kisheria analipa ada na anakaguliwa na interpol, huko kote lugha ni kingereza, kifaransa.

Bongo mawakala wachache, mameneja wengi ( wajanja wajanja )
 
Kabisa mkuu hata Holland, Belgium kuna sehemu wana ongea French tu yaan hata ile bring me water majamaa haya elewi
Kifupi siyo hawaelewi, ila wanathamini ya kwao zaidi na kudharau hizo za wengine ambazo sisi tunashobokea.
 
Hapa hatupo kwenye lugha za taifa letu ila tupo kwenye kazi za uwakala na mikataba mingi inakuja kwa lugha ya kiingereza kwa wachezaji wetu

Sasa kama wakala hujui kiingereza si utamuingiza kwenye matatizo ya kimkataba mchezaji wake coz inaeleweka player wengi hasa Tanzania hawajaenda shule

Hata huko Germany,Belgium ukipeleka mchezaji lazima wakupe mkataba kwa lugha ya kiingereza ambayo ndio common language in the world

Kazumari lazima aendelee kuchapwa na hakuna huruma katika hili
 
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na ktk press iyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, haji ali hoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kusamin lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaj wakubwa na sio wote hujua english kiufasaha
Hata yeye mwenyewe zeruzeru kingereza chake unga unga mwana lakini hakuna anayemponda
 
Wakala kujua kingereza ni lazima sasa utafanyaje mazungumzo ya kimkataba kama hujui? Utasaini vipi Mkataba kama hujui tuache kukaza vichwa kingereza ni muhimu kwa wakala kujua, Mino Raiola alikuwa anajua lugha tano kiufasaha zaidi, Jorge Mendes nae hivyo hivyo.
 
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na ktk press iyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, haji ali hoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kusamin lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaj wakubwa na sio wote hujua english kiufasaha
Haji Manara ninayemjua Mimi Kiingereza chake anachokijua ni cha 30% tu ila cha Mchambuzi Jemedari Said Kazumari nimjuaye Mimi chake ni cha 75% na hata Wawili hawa tukisema tuwapapambanishe Kukizungumza Haji Manara atatafuta mahala kwa Kukimbilia kwani najua atamshindwa tu Jemedari Said Kazumari.
 
Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa,

Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na ktk press iyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo msemaji huyo Bw.Haji Manara alipotoa kauli ya kebehi na kauli ambayo kimsingi ni ufinyu wa fikra katika maswala mazima ya lugha, haji ali hoji inakuwaje manager wa mchezaji hajui hata kutunga sentensi kwa lugha ya English

...Bw Haji katika hili ameonyesha ni mtumwa ktk kusamin lugha za kigeni, anapaswa atambue wapo mameneja wa wachezaj wakubwa na sio wote hujua english kiufasaha
Acha ujinga wewe lugha ya kingereza ni Dunia wewe Sasa imekuja email ya kiingereza watu wanataka mchezaji anajibuje
 
Ukweli unabaki palepale kwamba lugha ya kiingereza haiepukiki pale unapofanya shughuli yoyote ambayo ni muhimu kufanyikia nje ya nchi hata akina Xi Jin Ping, Putin, Kiduku wana wakalimani wa nguvu.
 
Back
Top Bottom